Ndani ya mwaka mmoja, mashirika ya umma yamekopa nje kwa ongezeko la 1024.2% zaidi

Ndani ya mwaka mmoja, mashirika ya umma yamekopa nje kwa ongezeko la 1024.2% zaidi

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Taarifa za Maendeleo ya Uchumi zimeonesha Taasisi za Umma zimeongeza kukopa nje ya nchi ambapo Oktoba 2020, Taasisi za Umma zilikuwa zinadaiwa Dola Milioni 51.7 (Tsh. Bilioni 119.1) na Oktoba 2021 limekuwa hadi Dola Milioni 509.5 (Tsh. Trilioni 1.174)

Deni la Taifa limeongezeka kwa Tsh. Trilioni 10.1 ambapo Oktoba 2020 lilikuwa Tsh. Trilioni 54.5 na Oktoba 2021 ni Tsh. Trilioni 64.6. Serikali Kuu ina sehemu kubwa katika deni la Taifa ambalo ni 71.6%

1.png
 
Yapo mengine mengi yamefichika chini ya carpet ila yatakuja funuliwa wakati ufikapo
 
Bahati nzuri tulichukulia kuwa ccm ni chama cha wananchi/wanachama wote lakini sasa tunaambiwa rasmi kina wenyewe ni familia hazizidi hata 5. Kwa hiyo waliodhani kuwaondoa ccm madarakani kutaleta vita wajue sasa kuwa ni vita ya hizo familia tu
 
Tatizo hawezi jitetea..

Yatavurumishwa kwake hata ambayo hakuyajua...

Watu kazini...
 
Hivi deni la taifa kuongezeka namna hii Mimi Kama mwananchi mwenye kipato Cha chini inaniadhili ki namna ipi?? Naomba elimu juu ya hili
 
Deni la Taifa now ni Trilioni 64.6. Serikali Kuu ina sehemu kubwa katika deni la Taifa ambalo ni 71.6%

TUTAFIKA TU HATA KWA NCHI KUWEKWA BOND
 
Taarifa za Maendeleo ya Uchumi zimeonesha Taasisi za Umma zimeongeza kukopa nje ya nchi ambapo Oktoba 2020, Taasisi za Umma zilikuwa zinadaiwa Dola Milioni 51.7 (Tsh. Bilioni 119.1) na Oktoba 2021 limekuwa hadi Dola Milioni 509.5 (Tsh. Trilioni 1.174)

Deni la Taifa limeongezeka kwa Tsh. Trilioni 10.1 ambapo Oktoba 2020 lilikuwa Tsh. Trilioni 54.5 na Oktoba 2021 ni Tsh. Trilioni 64.6. Serikali Kuu ina sehemu kubwa katika deni la Taifa ambalo ni 71.6%

Uganda Airport imechukuliwa mda mchache ujao TZ tutanyang'anywa,, SGR,, Airport zote na Bandari zote maana hatuna Cha kuwalipa
 
Hivi deni la taifa kuongezeka namna hii Mimi Kama mwananchi mwenye kipato Cha chini inaniadhili ki namna ipi?? Naomba elimu juu ya hili
Bidhaa unazonunua itabid zipande bei Kwan serikali itaongeza Kodi kwenye bidhaa zinzotumika Sana na matabaka yote😁😁 Wote tunakula!! Hata sisi wa kipato Cha chini lazma tule!! Tutabanwa hapo ili gavoo ipate Doo za kulipa mko--poo!!!
 
Bidhaa unazonunua itabid zipande bei Kwan serikali itaongeza Kodi kwenye bidhaa zinzotumika Sana na matabaka yote😁😁 Wote tunakula!! Hata sisi wa kipato Cha chini lazma tule!! Tutabanwa hapo ili gavoo ipate Doo za kulipa mko--poo!!!
Aisee kumbe ndo jinsi ilivo, kwhy tunaweza fanyaje ili hayo yote yasitokee? Au ndo tumechelewa?
 
Bahati nzuri tulichukulia kuwa ccm ni chama cha wananchi/wanachama wote lakini sasa tunaambiwa rasmi kina wenyewe ni familia hazizidi hata 5. Kwa hiyo waliodhani kuwaondoa ccm madarakani kutaleta vita wajue sasa kuwa ni vita ya hizo familia tu
Na hii inamaanisha hata nchi ina wenyewe.
 
Na high inamaanisha hata nchi ina wenyewe.
One of the perfect answers I have ever heard, asante sana.

Hapo ndio unakuta kama Waingereza nchi ina wenyewe na kila mmoja anawaheshimu kwa sababu wanasimamia haki, Ujapani, UAE nk wanajaribu hicho. USA wenyewe wameamua kujikita kwenye sheria kwa misingi ya liberty na hawataki ujinga.

Ukishajitangazia umiliki wa nchi basi tenda haki, ukaanza unyang'au ndio watu wanaamua kuishi kama Somalia.
 
Back
Top Bottom