Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Nccr Mageuzi kuna taarifa kuwa wengi WA wanachama wao wanatokea Rwanda na Burundi, na ndio maana ukijiunga hukawii kuzushiwa mkimbizi. Inasadikika wengine waligombea na ubunge.
Chadema kuna wakenya wengi na waganda wachache, na wamejificha kwa sura za kitanzania.
CUF kuna troop ya Mombasa imejificha kwa mgongo WA udini.
CCM ndo usiseme ni mixture.
Wengine hawana vibali, hebu tuchunguze hili swala kwa makini sana.
Ndio maana Mtanzania akianza kung'aa kisiasa au kiharakati ana windwa hasa na kuzushiwa kila jambo baya kama anavyozushiwa Deogratius Kisandu.
Tutafakari halafu, tufanye uchunguzi. Majibu yatakayokuja ni Uzembe WA Nchi kutokujua.
Deogratius Kisandu.
Chadema kuna wakenya wengi na waganda wachache, na wamejificha kwa sura za kitanzania.
CUF kuna troop ya Mombasa imejificha kwa mgongo WA udini.
CCM ndo usiseme ni mixture.
Wengine hawana vibali, hebu tuchunguze hili swala kwa makini sana.
Ndio maana Mtanzania akianza kung'aa kisiasa au kiharakati ana windwa hasa na kuzushiwa kila jambo baya kama anavyozushiwa Deogratius Kisandu.
Tutafakari halafu, tufanye uchunguzi. Majibu yatakayokuja ni Uzembe WA Nchi kutokujua.
Deogratius Kisandu.