Tetesi: Ndani ya vyama vya Siasa, wamejificha wakimbizi.

Tetesi: Ndani ya vyama vya Siasa, wamejificha wakimbizi.

Hata kabila la Nyerere ni wahamiaji, wanaposema 'wazanaki?' maana yake umeleta niini? Inasemekana asili yao ni kwa Kagame au Burundi Burundi huko..........

Tukienda na tabia ya kuhoji ipo siku utajua kuwa Magu si msukuma...........
Wewe na Kisandu kama vichwa vyenu vipo vizuri fanyeni utafiti kidogo juu ya asili zenu kwa miaka angalau hata miaka 80 kurudi nyuma kabla hamja ropoka ropoka mambo msiyo yajua ninyi vijana, utakuta hamna asili ya hapo mnapo ishi kwa sasa!. Kwa sisi tunaojua hatushangai maana binadamu anatabia ya ku move from one place to another by being forced with several factor. Sisi kama Taifa tunahitaji kila mtu isipokuwa wale tunao ona ni threats kwa Taifa!.
 
Wewe na Kisandu kama vichwa vyenu vipo vizuri fanyeni utafiti kidogo juu ya asili zenu kwa miaka angalau hata miaka 80 kurudi nyuma kabla hamja ropoka ropoka mambo msiyo yajua ninyi vijana, utakuta hamna asili ya hapo mnapo ishi kwa sasa!. Kwa sisi tunaojua hatushangai maana binadamu anatabia ya ku move from one place to another by being forced with several factor. Sisi kama Taifa tunahitaji kila mtu isipokuwa wale tunao ona ni threats kwa Taifa!.
Mbona utetezi wako ni dhaifu mno au umeguswa. Kupendana kwa watanzania sio halali ya kuwafanya ambao sio wazawa kuongoza nchi
 
Back
Top Bottom