Tetesi: Ndani ya vyama vya Siasa, wamejificha wakimbizi.

Tetesi: Ndani ya vyama vya Siasa, wamejificha wakimbizi.

Huyu dogo Kisandu njaa imemfika pabaya Sana, hana pa kushika. Huwa tunawaambia nyie vijana kazi ni kipimo cha utu mnabisha mnataka kuishi kijanja kijanja. Haya sasa ulijitoa kwenye siasa naona unarudi kiaina. Moja ya positives za utawala wa JPM ni kuwaweka kando mliokuwa mnategemea siasa kuishi mjini sasa mnalazimika kuishi kwa jasho. Bora hamia huko kwenye utapeli wa dini tu
Jamiiforum inabidi ilinde sana haki za binadam. ..Hivi Pombe maisha yake anayaendesha kupitia siasa au biashara mkuu naomba jibu
 
Sii bure huyu jamaa anaenda kuchanganyikiwa Sii bure kweli. Time will tell
 
sina uhakika na kama wapo, bhac wamefuata sheria ya nchi, na ingependeza zaidi kwa kutaja mifano
 
Nccr Mageuzi kuna taarifa kuwa wengi WA wanachama wao wanatokea Rwanda na Burundi, na ndio maana ukijiunga hukawii kuzushiwa mkimbizi. Inasadikika wengine waligombea na ubunge.

Chadema kuna wakenya wengi na waganda wachache, na wamejificha kwa sura za kitanzania.

CUF kuna troop ya Mombasa imejificha kwa mgongo WA udini.

CCM ndo usiseme ni mixture.

Wengine hawana vibali, hebu tuchunguze hili swala kwa makini sana.

Ndio maana Mtanzania akianza kung'aa kisiasa au kiharakati ana windwa hasa na kuzushiwa kila jambo baya kama anavyozushiwa Deogratius Kisandu.

Tutafakari halafu, tufanye uchunguzi. Majibu yatakayokuja ni Uzembe WA Nchi kutokujua.

Deogratius Kisandu.


Ungeweka ushahidi kama u mkweli.
 
Hivi sisi binadamu tuna akili timamu kweli????......kwani mtu kuwa mganda,mrwanda,mburundi e.t.c halafu akahamua kuja kuishi tz kuna ubaya gani????.....athari ya hao warwanda kuwa wanachama wa nccr mageuzi au chadema ni ipi???.......kuna haja gani ya sisi binadamu kubaguana???......kwa taarifa yako kuna siku dunia nzima itakuwa taifa moja,i have a dream!![emoji30]

Mkuu nakuheshim sana nimekuja na hasira nilipoona na wewe nika -come down.

Yaan huoni athari za wageni wasio wa nchi hii kujihusisha kwenye siasa aisee?

Kweli wacha tuajiriwe tu kwa GPA mkuu
 
Si tumeambiwa chama cha wahamiaji haramu kinaitwa RUVU FREEDOM PARTY.
 
Zito na act yake ndio hakuna makandokando ya warundi na wanyarwanda?
 
Hata kabila la Nyerere ni wahamiaji, wanaposema 'wazanaki?' maana yake umeleta niini? Inasemekana asili yao ni kwa Kagame au Burundi Burundi huko..........

Tukienda na tabia ya kuhoji ipo siku utajua kuwa Magu si msukuma...........
 
Deo leo umejitahidi kidogo nahisi kwa sasa ufahamu una kurudi, ila jiwe uliorusha mheshimiwa Rais hata kukumbuka maana katibu wetu ni msomali,unakumbuka vita vya kagasheki na meya Aman kule bukoba?
 
Nccr Mageuzi kuna taarifa kuwa wengi WA wanachama wao wanatokea Rwanda na Burundi, na ndio maana ukijiunga hukawii kuzushiwa mkimbizi. Inasadikika wengine waligombea na ubunge.

Chadema kuna wakenya wengi na waganda wachache, na wamejificha kwa sura za kitanzania.

CUF kuna troop ya Mombasa imejificha kwa mgongo WA udini.

CCM ndo usiseme ni mixture.

Wengine hawana vibali, hebu tuchunguze hili swala kwa makini sana.

Ndio maana Mtanzania akianza kung'aa kisiasa au kiharakati ana windwa hasa na kuzushiwa kila jambo baya kama anavyozushiwa Deogratius Kisandu.

Tutafakari halafu, tufanye uchunguzi. Majibu yatakayokuja ni Uzembe WA Nchi kutokujua.

Deogratius Kisandu.
Kumbe huwa wanazushiwa, basi haina shida kama ni uzushi
 
Back
Top Bottom