Tetesi: Ndani ya vyama vya Siasa, wamejificha wakimbizi.

Kuna watu walizusha eti Mkapa ni Mnyasa wa Malawi.
 
Jamiiforum inabidi ilinde sana haki za binadam. ..Hivi Pombe maisha yake anayaendesha kupitia siasa au biashara mkuu naomba jibu
 
Sii bure huyu jamaa anaenda kuchanganyikiwa Sii bure kweli. Time will tell
 
sina uhakika na kama wapo, bhac wamefuata sheria ya nchi, na ingependeza zaidi kwa kutaja mifano
 


Ungeweka ushahidi kama u mkweli.
 

Mkuu nakuheshim sana nimekuja na hasira nilipoona na wewe nika -come down.

Yaan huoni athari za wageni wasio wa nchi hii kujihusisha kwenye siasa aisee?

Kweli wacha tuajiriwe tu kwa GPA mkuu
 
Si tumeambiwa chama cha wahamiaji haramu kinaitwa RUVU FREEDOM PARTY.
 
Zito na act yake ndio hakuna makandokando ya warundi na wanyarwanda?
 
Hata kabila la Nyerere ni wahamiaji, wanaposema 'wazanaki?' maana yake umeleta niini? Inasemekana asili yao ni kwa Kagame au Burundi Burundi huko..........

Tukienda na tabia ya kuhoji ipo siku utajua kuwa Magu si msukuma...........
 
Deo leo umejitahidi kidogo nahisi kwa sasa ufahamu una kurudi, ila jiwe uliorusha mheshimiwa Rais hata kukumbuka maana katibu wetu ni msomali,unakumbuka vita vya kagasheki na meya Aman kule bukoba?
 
Kumbe huwa wanazushiwa, basi haina shida kama ni uzushi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…