Ndani ya wodi.. Hospital ya Apollo India

Uyo atakuwa yupo muhimbili anasubiri kibali cha mganga mkuu wa serikali aende Apollo.
 
binafsi nimefika apollo india.. baba yangu alifanyiwa surgery ya kichwa kuondoa brain tumor... tulikaa apollo mwezi mmoja wodin kwenye block linaitwa international pavillion kwa waliofika health city hyderabad apollo wanalijua.. matibabu yote kila kitu yaligharimu usd 9000 ila hizo treatment tulizopewa kama wafalme... mwezi mzima wodini.. misosi tuliyokuwa tunapewa si mchezooo.. hadi magazeti lila siku yanaletwa wodini na simu wodini for free...

nashangaa wastara kwa milion 40 ni matibabu ya mguu tu au na vinginevyooo... maana ukiwa mteja wa matibabu ya usd 10,000 tu india ni kama mfalme
 
Hivi kwanini Mange asimuache tu huyu mama wa watu..? Kwani Cannura inamuhusu,,? Aaghh,, mwambie mhudumu aniongeze Light nyingine si zimeshuka bei,,!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…