Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kuna mavazi maalum ya mgonjwa? Unaionaje hii picha?binafsi nimefika apollo india.. baba yangu alifanyiwa surgery ya kichwa kuondoa brain tumor... tulikaa apollo mwezi mmoja wodin kwenye block linaitwa international pavillion kwa waliofika health city hyderabad apollo wanalijua.. matibabu yote kila kitu yaligharimu usd 9000 ila hizo treatment tulizopewa kama wafalme... mwezi mzima wodini.. misosi tuliyokuwa tunapewa si mchezooo.. hadi magazeti lila siku yanaletwa wodini na simu wodini for free...
nashangaa wastara kwa milion 40 ni matibabu ya mguu tu au na vinginevyooo... maana ukiwa mteja wa matibabu ya usd 10,000 tu india ni kama mfalme
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anaumwa nini mkuuJamani nafikiri si vyema kujadili maisha ya mtu ambaye anaumwa na yupo Hosp.
A lie can travel half way around the world while the truth is putting on its shoes.
Hahahaaaa ! Mkuu umesababisha nicheke kwa sauti mbele za watu kama naonekana kama mwehu dah!!Mama Cannula
Kwani hapo alipolala ni ngapi kwa ngapi?Ila mi hayo macho tu jinsi anavyoangalia daaah! Sipati picha kunako sita kwa sita anakuwaje
Huyo ni Jambazi sugu asie tumia silaha, na akafanikiwa kumpora Mzee Baba....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Nan huyu brother Mshana
Cannula huchomwa kwa kutoka upande wa vidoleni na kuelekea upande wa beganiLakini hivi cannula huwa inaangalia mbele au nyuma. Maana hapo ni mwisho kabisa wa mkono karibia na vidole . Inakuwaje cannula iangalie kwenye vidole na sio kwenye upande wa mkono. Madaktari tusaidieni Tafadhali
Sanaa imekamilishwa kwa nguvu ya Mzee Baba....[emoji13] [emoji13] [emoji13]CCM imefanya mpaka watu wanafanya mambo ya ajabu.
Mzee Baba iz ze rizon Gademmit....[emoji16] [emoji16]We have a problem....
Hii ya peke yake chumbani halafu akajiselfie... Bob ni mfuatiliaji atakula kichwaAhahaha yupo Apollo ya Tandale ya India...akili kitu kingine bwana,yaani alishindwa kabisa hata kumtafuta mtu mwenye idea kidogo amuelekeze namna ya kuweka cannula yeye akaamua kujipachikia anavyojua yeye.atakuwa na mwisho mbaya sana kwa sanaa hizi anazofanya.
Tatizo wanaume wa Dar mlisha mzunguka hadi mkamchoka, sasa atakula wapi.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]Aisee mbona Dada yetu kageuza mguu mtaji
Labda tukuletee safari tu mkuu, maana wanywaji wa Light wamekua wengi na sasa zinawahi kuishaHivi kwanini Mange asimuache tu huyu mama wa watu..? Kwani Cannura inamuhusu,,? Aaghh,, mwambie mhudumu aniongeze Light nyingine si zimeshuka bei,,!!!
Get well the soonest View attachment 693642we pray for you