Hata google na you tube?Ahahaha yupo Apollo ya Tandale ya India...akili kitu kingine bwana,yaani alishindwa kabisa hata kumtafuta mtu mwenye idea kidogo amuelekeze namna ya kuweka cannula yeye akaamua kujipachikia anavyojua yeye.atakuwa na mwisho mbaya sana kwa sanaa hizi anazofanya.
Me bado aiseeee.... Jicho na lips zimenitia hamasa.... Ngoja arudi bana...[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Tatizo wanaume wa Dar mlisha mzunguka hadi mkamchoka, sasa atakula wapi.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Hapo ni tatu kwa sitaKwani hapo alipolala ni ngapi kwa ngapi?
Lengo lako limetimia!meno yote njeee![emoji13] [emoji13] [emoji13][emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi kwanini Mange asimuache tu huyu mama wa watu..? Kwani Cannura inamuhusu,,? Aaghh,, mwambie mhudumu aniongeze Light nyingine si zimeshuka bei,,!!!