Ndege aina hii wanaitwaje?

Falcon ..... Ni treasure ya serikali ya nchi gani mkuu?
 
Kiukweli sifahamu mkuu na pia sidhani Kama wana Jina la kiswahili labda ngoja wawe maarufu .....ndo tutapata Jina la kiswahili....
... BAKITA iwatungie jina sasa kama kawaida yao lugha hutungwa mezani! Nadhani waitwe fizanti au "mchaparo nyuma".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…