Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Huwezi ishi vyema na majirani magaidi.Hamna jipya hapo, ungefuatilia vita ya Hezbollah na Israel 2006, ungedhani Lebanon itafutika na kubaki jangwa kwa jinsi IDF alishambulia.
Israel aache ubabe wa kipuuzi ME, aishi vyema na jirani zake hilo ndilo suluhisho.
🙏🙏God Bless Israel
Wapalestina ndio wana wa Israel sio?!hao zionist hawana uhusiano na wana wa israel.
hao ni wazungu pure
Hili ni jukwaa la kimataifa..Hivi huna kazi za kufanya au unalipwa kwa umbea usiokuhusu mbona kina vitu vingi vya kuandika vya nchi yako?kila leo israel,israel,israel,nenda kaungane nao basi
Sio rahisi ila kwa Israel inawezekana.Hivi ni rahisi ndege mia tena za kivita kua angani eneo moja kwa lisaa lizima kabla hazijagongana?
Waisrael halisi wako wapi? tuelimishe tujuehao zionist hawana uhusiano na wana wa israel.
hao ni wazungu pure
Yes. Wale wakristo wa lebanon hawataki kabsa shiaIsrael inaisaidia Serikali ya Lebanon sana, msije shangaa baada ya Vita wakaanzisha ushirikiano
Kobazi kwanini mnapenda ubishi?Hivi ni rahisi ndege mia tena za kivita kua angani eneo moja kwa lisaa lizima kabla hazijagongana?
Kwani hao Hezbollah wamefanya nini chamaana kwa IsraelTangu kabla ya kifo cha nasrallah wanasambaratisha tu hizbullah,lakini hawajachukua hata mita mia za lebanon
Mabeho acha apotee ni mshenziAyatollah kitu Netanyahu anamfanyia atalaani mpaka kaburini huyu mzee anaenda kufa kibaya sana. Hivi unaweza kuwamini kuna very high ranking general wamepotezwa na Israel na hayo majamaa yana siri za taifa.. yaani kama leo usikie Mabeho amepotea nahatumuoni tena...
Jaman sijabisha nimehoji ewe pampas.Kobazi kwanini mnapenda ubishi?
Huna akili wanapigwa sio kwauislam wao nikwaugaidi wao huko Qatar, kuwait, Bahrain kuna waislam kibao nahukuti wanapigwaInaonekana huna uelewa juu ya ajenda kuu ya wayahudi.
Wayahudi si tu wanapambana na HAMAS au Hezbollah bali wanataka kuua kila chembechembe ya Uislam katika Middle East.
Vita ya wayahudi dhidi ya waislam haijaanza leo tu bali zaidi ya miaka 1400 iliyopita kipindi Mtume Muhammad s.a.w yupo
Hapakaliki miji ya israel kaskazini wanakopakana na lebanon,raia laki tatu + wamehamishwaKwani hao Hezbollah wamefanya nini chamaana kwa Israel
Jamaa zako wanajificha nyuma ya umoja wa mataifa hapo mpakani lebanon, wanamuogopa hizbullah, mkong'oto jazz bandKobazi kwanini mnapenda ubishi?
Wafuga majini, magaidi ,Mashoga, na mabasha wote wataenda ktk ziwa la moto, hakuna wa kumcheka mwenzakeTuendelee kuiombea Israel..
Na Makafiri pia..Wafuga majini, magaidi ,Mashoga, na mabasha wote wataenda ktk ziwa la moto, hakuna wa kumcheka mwenzake
Wanampinga Myahudi kwa nguvu zote sababu ndiyo wanamjua Mungu wa kweli Yehovah, wao wamecopy na kupesti tu na wayahudi walimuumbua Muddy alipodai yeye ndiyo Masihi aliyetabiriwa ktk Torati na hata wayahudi (watu wa kitabu) watathibitisha, baada ya hapo akajenga uadui nao mkubwa na amewarithisha wafuasi wake kuwaagiza wawaue wayahudi.Hivi nyie watu wa dini mbona mnafundishwa ugoro hivi halafu mnakubali?
Halafu nyie waislamu, mbona mnaaminishwa kana kwamba ''Yahudi'' siyo binadamu?
Jinga sana nyinyi!
Umeandika pumba sana, mapigano kwasasa yapo ndani ya Lebanon na raia wake wamekimbia pia hiyo miji ya kusini, subiri baada ya vita ndio uje kujigamba hapa kuliko huu ugoro ulioandikaHapakaliki miji ya israel kaskazini wanakopakana na lebanon,raia laki tatu + wamehamishwa
Sasa hivi israel inajificha nyuma ya umoja wa mataifa hapo mpakani kwenye blue line,wakiogopa kipondo cha hizbullah