Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
- Thread starter
-
- #21
Cc ngap?Mkuu ukisikia ungo unauzwa nistue
Sitaki unayonusa mafuta nataka unaobwia wese.. Any model kwangu sawa tuuCc ngap?
Mwaka?
Umeongea utani but hii kitu inawezekana unanunua train iliyokufa (mabehewa) then unaagiza stream engine nje,hayo mabehewa unafungwa sofa Kali,AC na ma udambwi udambwi mwingi unakuwa unapigia biasharaSaw mim nataka tren kama unauza nistue
Kwamba pichani hujaona numba DJ5? [emoji23][emoji23][emoji23]Namba D?
Lini nije na fundi wangu tukague ndege[emoji23]
tena unaifanya kuwa 5 🌟 mobile hotel au restaurant.Umeongea utani but hii kitu inawezekana unanunua train iliyokufa (mabehewa) then unaagiza stream engine nje,hayo mabehewa unafungwa sofa Kali,AC na ma udambwi udambwi mwingi unakuwa unapigia biashara
Unapata 5 mkuu
Kabisaa Mkuu,South ipo hii Strain ya kitalii,Tena hapa Tz fursa nzuri maana hata reli nyingi hazitumiki Tena so hakuna usumbufutena unaifanya kuwa 5 🌟 mobile hotel au restaurant.
Hii idea huwa inakuja akilin nikiona mabehewa au bas za kizamani yametelekezwa tu
bongo bado hatujafikria nje ya box tunazia utalii ni wanyama na kupanda milima pekeeKabisaa Mkuu,South ipo hii Strain ya kitalii,Tena hapa Tz fursa nzuri maana hata reli nyingi hazitumiki Tena so hakuna usumbufu
Buku itapendezaCc ngap Kaka unataka
Mtaalamu wa mamboMkuu ukisikia ungo unauzwa nistue
Yote mawili yanawezekanaHivi hii kitu ni wewe Mmiliki unajifunza kuendesha au unaajiri Rubani?.
🤣🤣🤣🤣Mkuu ukisikia ungo unauzwa nistue
Anko ulitangaza kuyaacha mambo haya. Vipi una nia kukumbushia? Au mazoezi tu km yalivyo mazoezi mengine?Mkuu ukisikia ungo unauzwa nistue