Royal Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 909
- 1,717
Ameuliza swali kwa niaba ya wengiYeye ndo amesema hajajibiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameuliza swali kwa niaba ya wengiYeye ndo amesema hajajibiwa?
Mkuu tuelimishane hili swali hata graduate ambaye siyo specialist katika eneo husika linamtoa out sembuse miaka 2Kama ulikaa darasan miaka 2 na hukuelewa kitu unadhan hapa hata wakueleweshe utaelewa?
Ila jamaa kavuta na shuka kabisa kama yuko home kwake🤣🤣🤣Rubani wa ndege ya Pakistan airlines PIA alikutwa akilala fofofo huku akikoroma business class baada ya kumuachia rubani msaidizi aingoze ndege. Ndege iyo ilikuwa inatoka Islamabad kwenda London. Abiria mmoja aliyekuwa business class ambayo ilikuwa na abiria wachache kumpiga picha.
Tukio hilo lilitokea 2018.
View attachment 3057892
Nadhani mleta mada anazungumzia nap sio sleep. Yaani rubani kusinzia ghafla bila kutegemea. Jibu ni kwamba ndege itayumba na ataamka. Autopilot nadhani inakua engaged na haiji engageRubani wa ndege ya Pakistan airlines PIA alikutwa akilala fofofo huku akikoroma business class baada ya kumuachia rubani msaidizi aingoze ndege. Ndege iyo ilikuwa inatoka Islamabad kwenda London. Abiria mmoja aliyekuwa business class ambayo ilikuwa na abiria wachache kumpiga picha.
Tukio hilo lilitokea 2018.
View attachment 3057892
Soma hadithi hiiNimeona andiko fulani ila nataka wataalam mnithibitishie inapotokea marubani kusinzia vipi kuhusu usalama wa ndege na abiria Kwa ujumla?View attachment 3057872
Ndo mana wako wawili😅 hamuwezi kulala wote..
Kabla hujajibiwa swali lako ushawahi kuona wale wateka ndege wanaua rubani??
🙏Ameuliza swali kwa niaba ya wengi
Hao marubani Ni kanyaboya tu. Ndege inajiendesha yenyewe tu kupitia autopilotMsilete uongo wenu.Auto-pilot haina kikomo na uangalizi?Mjitafakari siyo kujibu tu kwa kutumia magoti.
Kwa kiwango kipi na ukomo upi?Hata baiskeli muendeshaji anaweza kuachia "stelingi"(sijui kama baiskeli ina stelingi)na ikajiongoza.Swali;Ndege hujipaisha yenyewe?Vipi kuhusu kutua?Mawasiliano na wa viwanjani/vituo inajifanyia yenyewe?Hao marubani Ni kanyaboya tu. Ndege inajiendesha yenyewe tu kupitia autopilot