Ndege inayomsafirisha Nancy Peloce yaonekana ikikaribia kisiwa cha Taiwan. China yakaa tayari kwa lolote!

China anataka kumeza ndoano aliyomeza Putin kaingia kichwani akidhani anapigana na Ukraine
 
Ifike wakati tutambue kuwa chuki zetu kwa US hazisaidii chochote, jamaa ni super power, na hakuna mbabe zaidi yake.
This is nonsense sijui ukoje marekani wanasababisha vita maeneo mbali mbali alafu bado unawashabikia watu wengine mpimwe akili Marekani ni superpower anayeenda kuanguka walikuwepo superpower wenye nguvu kushinda marekani wakaanguka zamu ya kuanguka Kwa marekani imefika.
 
Ndege iko karibu kutua. Je, china itasimamia inachokiamini? Ngoja tuone...
 
Jamani kukumbushana tu: Ukraine bado anatuhitaji sana kumfuatilia na yeye maendeleo yake. Mtoto hata akikua hatupwi😁😂
 
Wakazi mji wa taipei wamekusanyika kushuhudia speker wa US akitua airport.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…