Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Pelosi atakuwa amepata heshima kubwa kuliko hata JB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufungulia vyombo ndo kufanyaje mkuu,hebu fafanua kidogo [emoji848]Us air force wametakiwa kufungulia vyombo endapo jeshi la china litajaribu kuizuia ndege ya Nancy.
#Yajayoyanafurahisha
View attachment 2312071
Tupia link MzeeUs air force wametakiwa kufungulia vyombo endapo jeshi la china litajaribu kuizuia ndege ya Nancy.
#Yajayoyanafurahisha
View attachment 2312071
[emoji41][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baby ngoja nifuatilie hii kitu, tutaendelea baadaeView attachment 2312080
Kabisa mkuu! Ubabe ubabe! Just pelosi asipoenda means US ameogopa na Pelosi akienda af asifanywe kitu kwamba china hamna kitu!Pelosi atakuwa amepata heshima kubwa kuliko hata JB
This is nonsense sijui ukoje marekani wanasababisha vita maeneo mbali mbali alafu bado unawashabikia watu wengine mpimwe akili Marekani ni superpower anayeenda kuanguka walikuwepo superpower wenye nguvu kushinda marekani wakaanguka zamu ya kuanguka Kwa marekani imefika.Ifike wakati tutambue kuwa chuki zetu kwa US hazisaidii chochote, jamaa ni super power, na hakuna mbabe zaidi yake.
Wanamuona mtu muhimu kuitambua Taiwan, Taiwan wamefurahi sanaPelosi atakuwa amepata heshima kubwa kuliko hata JB
basi marekani Hana lolote Kwa sababu Putin anaendelea kujikusanyia maeneo Ukraine.China anataka kumeza ndoano aliyomeza Putin kaingia kichwani akidhani anapigana na Ukraine
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Kweli mkuu, Putin kajichukulia maeneo huko Ukraine,na vita ameshamaliza tayari[emoji848]basi marekani Hana lolote Kwa sababu Putin anaendelea kujikusanyia maeneo Ukraine.
Tupia link mzeeNdege iko karibu kutua. Je, china itasimamia inachokiamini? Ngoja tuone...View attachment 2312115
Anachukua nchi nzima.Kweli mkuu, Putin kajichukulia maeneo huko Ukraine,na vita ameshamaliza tayari[emoji848]