Ndege John nimejitafuta hatimaye nimejipata

Ndege John nimejitafuta hatimaye nimejipata

Sasa kuna mtu ataweka 100k na yeye

Nauli ya mwanza hio vvip itapepea kama mwewe mawinguni

😂😂😂😂

Du not trai zis stafu
Ai beg yuu
 
Unapanda mbegu moja au mbili then unategemea uvune mahindi lundo? hujabeti hapo ? other factors za mvua na mbolea pembeni (Uchambuzi wa vikosi 🤣 🤣 )
(ufafanuzi niliopewa na Afisa mwandamizi wa ubashiri na mipango mkakati). Hitimisho kubet ni kwa kila mtu
Ni mtazamo wako
 
Back
Top Bottom