Uchumi wa Mifugo
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 345
- 580
10% itatumaliza kabisaKati ya vitu tunakosea CCM nikununua midege
Hiyo ya kwanza imeshindwa kupara abiria wa kutosha.Sasa hii inatuhusu nini ukizingatia sisi wananchi hatuna nafasi yoyote katika mipango katika hii nchi?
Watajua wenyewe hata wakinunua ngege 100
Kubadilisha jina kunaweza kuongeza ufanisi wa shirika la ndege ?Zanzibar wawe na shirika Lao la ndege..
Waite Zanzibar air..
Huku atcl tuivunje..tuanzishe Kilimanjaro airlines
Hakika tunakionaWanamsemo wao flani hao maccm waliopo serikalini wakishashiba kande na ugali wa bure na kuvimbiwa at taxpayers and donors expense KUFA HAMFI LAKINI CHA MOTO MNAKIONA.
Tumwongezee miaka mingine 10Samia kaagiza ziwe za Zanzibar
Zanzibar ni mzigo mkubwa sana kwa Tanganyika
Nyerere alituuza utumwani kama ngamia
Sasa ni mapambo tu pale uwanjani maana hakuna mahala pa kuzipeleka kufanya kazi.Hakuna namna...!
Fastjet walisha ifanyia figisu kisa kuogopa ushindani wa kibiasharaSeikali yetu ilitakiwa iboreshe tu viwanja vya ndege , biashara ya ndege ingewaachia akina fastjet na precision. Haya madege yanakwenda kuwa mzigo mkubwa kwa mwananchi huko mbele ,
Siku hizi zitafanya kazi kwa kupokezana kwenda dodoma maana trip zimeongezwa thamaniNdege zenyewe zinaenda Arusha,Kigoma na Mwanza zikitoka nje ya nchi ni India na China au mpaka zikodishwe na Yanga iende Nigeria.
Hizo hela zipelekeni kutengeneza barabara za vijijini wananchi wasafirishaji mizigo kwa unafuu,pelekeni zikajenge madaraja au kama zipo nyingi sana wakopesheni SUMA JKT,Magereza na Shirika la maendeleo la taifa(NDC) ili waanzishe mashamba ya michikichi na waanzishe viwanda vya kukamua mafuta ya mawese .Nchi ina mamilioni ya hekari lakini mafuta ya kupikia yanatoka Malaysia aibu sana hii.
mimi nafikiri wangeanza kwa kuangalia gharama za uendeshaji ziwe realistic/competitive, then waweke bei rafiki kabisa mfano Arusha/dar 70,000shs flat rate; ili ndege ijae kila siku. Mbona ulaya wana hizo bei ($20/$30) na ndege kubwa zinaruka kila siku kati ya mji na mji na husikii wakilalamika kuwa wamepata hasara?Mashirika makubwa ya ndege kama SAA, KQ hata Emirates na KLM yamekuwa na changamoto kubwa za kibiashara na hata kufilisika. Angalia SAA ya Africa Kusini inajitahidi kufufuka kwa taabu kubwa, hili ni shirika lenye ndege zaidi ya 120 na hufanya safari zake popote duniani!, isitoshe linamilikiwa kwa ubia na wazungu na serikali tajiri ya Africa Kusini. Sijui itakuwaje na ATCL yetu kama tu tunshindwa hapa nyumbani kuendesha TTCL na TANESCO kibiashara.
Inafikirisha sanaKodi tukamuliwe sisi vibarua wa kwa mparange kupokea ndege wakapokee akina Ame wa mchambawima.
Miaka hii 10 tutageuzwa hata majina na kuitwa AmeInafikirisha sana
labda hawaja kosea pengine ni mahesabu ya mbali hayo ili likisua sua wanasema wanali binafsiha na haohao wanasisiemu wanakuwa wawekezajiKati ya vitu tunakosea CCM nikununua midege
Hoja yako ni muhimu sana, tunajiuliza haya mambo ya Muungano yanapelekwa kwa Rais wa Zanzibar ambaye hatukumchagua sisi.Miaka hii 10 tutageuzwa hata majina na kuitwa Ame