Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hahahaha[emoji23]Mbaya Zinataga Mayai Viza Muda Unapotea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha[emoji23]Mbaya Zinataga Mayai Viza Muda Unapotea
Vipi kwani mama hawakomeshi mataga tena?Pumbaf
Duh mama kaupiga mwingi hapo. Rais wa zanzibar kupokea ndege za air tanzania jambo jema sana. Zanzibar kwa utalii wa tanzania kazi iendelee.Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Yaani taifa linaangamia kisa mawazo ya mtu mmoja tu kaamua kufanya hivyo.mashirika haya yalitakiwa yaendeshwe na wataalam bila kuingiliwa na siasa , hivi mnakumbuka bomba la kutoka kibamba hadi kisarawe ,halikua na sababu kabisaaaa kisa tu kimada wa mtu yuko kule , hapo kwembe tu na msumi watu wanakunywa maji pamoja na mifugo. walishaambiwa wasikubali akili ndogo kutawala akili kubwa hawaelewi.
1. Kwanini zipokelewe Zanzibar?Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Anawakomesha sukuma gang ukiwemo wewe mramba miguuVipi kwani mama hawakomeshi mataga tena?
Afadhali sasa tufungue kijiji cha maonyesho ya ndegeMbaya Zinataga Mayai Viza Muda Unapotea
Gharama Eti Wanapokea Zanzibar, Nchi NgumuAfadhali sasa tufungue kijiji cha maonyesho ya ndege
Mnahangaika sanaPumbaf
Usanii hauwezi kwisha nchiniGharama Eti Wanapokea Zanzibar, Nchi Ngumu
Mnahangaika nyinyi sukuma gangMnahangaika sana
Ndiyo Zimeandikwa " Kazi Iendelee "Kwa hiyo hii ni ile order aliyoweka jiwe, nyingine ndo zinagawiwa zenj kudumisha muungano kwa mtindo wa sandakalawe aminaa.....
Kwa hivyo unataka kusema tajiri fulani mtoto wake mwanaume ni baradhuli wewe masikini usizee kwa kuhofia kuwa mwanao kuja kuwa baradhuliMashirika makubwa ya ndege kama SAA, KQ hata Emirates na KLM yamekuwa na changamoto kubwa za kibiashara na hata kufilisika. Angalia SAA ya Afrika Kusini inajitahidi kufufuka kwa taabu kubwa, hili ni shirika lenye ndege zaidi ya 120 na hufanya safari zake popote duniani!
Isitoshe linamilikiwa kwa ubia na wazungu na serikali tajiri ya Africa Kusini. Sijui itakuwaje na ATCL yetu kama tu tunshindwa hapa nyumbani kuendesha TTCL na TANESCO kibiashara.
Sukuma Gang tupo imara... Acha mama aendelee kuupiga mwingi. Na 2025 atatuvusha. Anatosha.Mnahangaika nyinyi sukuma gang
Ukishindwa kumkwamisha basi muunge mkonoSukuma Gang tupo imara... Acha mama aendelee kuupiga mwingi. Na 2025 atatuvusha. Anatosha.
Jiwe limeyeyuka na kuwa mchangaSukuma Gang tupo imara... Acha mama aendelee kuupiga mwingi. Na 2025 atatuvusha. Anatosha.
Kabisa! Hata yale magaidi yako jela ni masukuma gangAnawakomesha sukuma gang ukiwemo wewe mramba miguu
Hatuwezi kukabidhi hii nchi kwa mawakala wa mabeberu CDM, ije mvua au lije jua.Ukishindwa kumsimamisha basi muunge mkono