Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwani rais wa jmt anatokea nchi gani?Inakuaje zinapokelewa nchi jirani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani rais wa jmt anatokea nchi gani?Inakuaje zinapokelewa nchi jirani?
Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Seikali yetu ilitakiwa iboreshe tu viwanja vya ndege, biashara ya ndege ingewaachia akina fastjet na precision. Haya madege yanakwenda kuwa mzigo mkubwa kwa mwananchi huko mbele.
Tanzania tunachezea mabilioni kwenye shimo la chooMakampuni mengi ya ndege duniani yana ndege za kukodi, na hayo ndiyo mengi yameathirika wakati wa uvuko19.
Upo sahihi sana kiongoziWatanzania Wanataka Elimu,Dawa na Maji SIO AIR BUS
Kwani bado nini pale maana wimbo wa taifa upo,bendera ipo
Hivi mlianza kukaa ndio mnaomba mipango miji ije au mlikuta mipango miji ipo ndio mka kaa hapo.Upuuzi mtupu!
Wananchi kibamba na sehemu nyingi tu nchini wanakunywa maji ya tope!
Kuitumia Airbus kwenye local routes unakuwa unacheza madangeWakiamua wanaweza. Nafikiri hizo ni ideal routes. Zinaweza kulipa sana kuliko long routes
Mkuu kwakuwa wapo pekee yao wanaweza kuamua wawahudumie watakavyo maana hakuna ushindani.Waboreshe menu mambo ya kupeana viazi na vipande vya apples yamepitwa na wakati
Kwa ccm chochote kinawezekana mkuuItakuwa ajabu sana hii kama ni kweli
Ukiona anatanguliza matusi basi jua hana cha dataSasa huyo Kama ameandika wrong data za idadi ya ndege za SAA, hoja si kumtukana, tungekuona wee ni mkweli Kama na wewe ungeweka data hapaaa zikiambatanishwa na rink or references. Badala yake umelipuka Kama Tank la petrol la ajari ya morogoro gafra tu. Tupe data wee
Ndio maana wameamua ziende ZanzibarSasa ni mapambo tu pale uwanjani maana hakuna mahala pa kuzipeleka kufanya kazi.
Kitovu cha utalii kama burigiNdio maana wameamua ziende Zanzibar
Halafu biashara kubwa inaweza kuwa ni kwenda nchi jirani na Africa kuliko Ulaya na MarekaniKuitumia Airbus kwenye local routes unakuwa unacheza madange
Pia serikali isaidie taasisi za kitafiti na vyuo kufanya basic research. Hii itasaidia vijana kuwa wabunifu wa hali ya juu. Waachane na kuvizia grants za kufanya applied research.Elimu,
Sio Chato tena.. hizi zilikua zipokelewe Chato, ratiba inaonyesha hivyo toka ”awali,” au ndio kufa kufaana hii.Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Tatizo ni Contract zitaacha kuja zikifika 10 kama ambavyo aliongeaga mzee Magufuli!Tungerudi zaidi kwenye kukamilisha ujenzi wa reli ya SGR. Safari za treni nzuri zikianza zitachangamsha sana uchumi. Safari mbili za treni ya SGR kwa siku kati ya Nairobi na Mombasa zimechangamsha shughuli nyingi za kiuchumi. Tujifunze huko.
Let us do the right thing. Consolidate on the planes for now (buy no more for now) na tuelekeze nguvu zote kwenye SGR. Please. Itawashangaza jinsi itakavyochangamsha shughuli nyingi za kiuchumi. Work on it as if our economy depended on it, for it does.
Hapo ukicheki dege linakula karibia billion 300!Hv si ndo hili shirika juzi juzi tu limeleta hasara ya mabilioni ya hela?
Hv hizi wakaamua kujenga hata viwanda kila kanda Tanzania haitapiga hatua kweli?
Kweli kufa kwa kenge hadi sikio litoe damu🤣🤣🤣🤣