kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Na hapa ndo pabaya zaidi maana znz inaenda kunufaika zaidi kuwa mgongo wa Tz Bara kitu ambacho kitaitesa sana BaraTumetoka Chato sasa ni Unguja. Kweli nyani haoni kundule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapa ndo pabaya zaidi maana znz inaenda kunufaika zaidi kuwa mgongo wa Tz Bara kitu ambacho kitaitesa sana BaraTumetoka Chato sasa ni Unguja. Kweli nyani haoni kundule
Soon utasikia Znz wanaanzisha shirika lao kwa fedha kutoka bara.
Mama anaonyesha upendeleo wa wazi kwa Znz
Mkuu, watoto wa "majamvi" ya Lumumba na "One - Way" ni misukule.Sasa huyo Kama ameandika wrong data za idadi ya ndege za SAA, hoja si kumtukana, tungekuona wee ni mkweli Kama na wewe ungeweka data hapaaa zikiambatanishwa na rink or references. Badala yake umelipuka Kama Tank la petrol la ajari ya morogoro gafra tu. Tupe data wee
Bora hata chato iko bara...hivi ikitokea mama akashinda tena 2025 akaamua kuipendelea znz kiwazi kama mzee wa chato ilunafikiri itakua je? Znz haiwezi kuinufaisha znz maana yenyewe haijitosheleziHata yule wa Chatto alikuwa akielekea huko huko
Kuna former mawaziti watatu hawajawahi kunijibu hili swala.Mafuta ya kupikia tunaagiza nje ya nchi,
Bora hata chato iko bara...hivi ikitokea mama akashinda tena 2025 akaamua kuipendelea znz kiwazi kama mzee wa chato ilunafikiri itakua je? Znz haiwezi kuinufaisha znz maana yenyewe haijitoshelezi.Hata yule wa Chatto alikuwa akielekea huko huko
Ikifikia hatua hiyo,wimbo wa Taifa lazima utapigwa kama 17 March 2021.Hizo ndege ni za zanzibar au Tanzania? Maana naona kama kuna mchezo unafanyika hapa.
Mwishon tutakuja kuambiwa ni za Zanzibar kumbe zimenunuliwa na hela ya Tanzania
Halafu "Hub" ya ATCL ni Dar es salaam!. Hata kama moja iliwahi kulala Mwanza "En route" haihalalishi hizi kupokelewa Zanzibar... Labda baada ya kumaliza route... Sherehe ya mapokezi ikafanyike Zanzibar, nitajaribu kuelewa lakini sioni mantiki.Ama kweli kama wazanzibari hawataki Muungano muda wao ni sasa.
Ndege za ATCL tangu lini zikapokelewa Zanzibar?
Mkuu, hapo kibamba hamna maji ya Dawasa?Upuuzi mtupu!
Wananchi kibamba na sehemu nyingi tu nchini wanakunywa maji ya tope!
Zinataga afu hazitotoi....Zisije tu kuja kutaga kama hizi nyingine.
Halafu hao Precision Air ni kundi la matapeli linalolindwa na Serikali, haiwezekani waruhisiwe kukusanya mitaji kutoka kwa umma halafu mambo yao wayaendeshe kwa siri kiasi hicho. Sijawahi kusikia wakiitisha mkutano wa mwaka kwa wanahisa.Seikali yetu ilitakiwa iboreshe tu viwanja vya ndege, biashara ya ndege ingewaachia akina fastjet na precision. Haya madege yanakwenda kuwa mzigo mkubwa kwa mwananchi huko mbele.
Ma bloila[emoji3]Zinataga afu hazitotoi....
Yani kama yale makuku yanataga bila uwepo wa jogoo
Acha uzwazwa...Samia kaagiza ziwe za Zanzibar
Zanzibar ni mzigo mkubwa sana kwa Tanganyika
Nyerere alituuza utumwani kama ngamia
Hivi zanzibar kuna tozo?Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Your IQ is too low to understand my post.Its not big issue kwa Watanzania kutafunwa na magonjwa!!???
Mkiambiwa nyie ni mawakala wa shetani,mnapiga kelele!
Ulivyoelewa.Kwa hiyo hizo Airbus amewapa ndugu zake?
Wewe hujawahi kuwa na akili ya kujadili mambo ya maendeleoUlivyoelewa.
Dawasco yenyewe inasuasua