Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Mwinyi huyu huyu aliyevunja shirika la meli la Zanzibar na kuagiza meli zote ziuzwe .... Awe tayari kupokea ndege za ATCL ambazo hazijawahi kurudisha gharama ... Achilia mbali kutengeneza faida?..

Atakuwa anajichanganya kama hili bandiko sio "Fake"🤔😲
 
Sasa huyo Kama ameandika wrong data za idadi ya ndege za SAA, hoja si kumtukana, tungekuona wee ni mkweli Kama na wewe ungeweka data hapaaa zikiambatanishwa na rink or references. Badala yake umelipuka Kama Tank la petrol la ajari ya morogoro gafra tu. Tupe data wee
Mkuu, watoto wa "majamvi" ya Lumumba na "One - Way" ni misukule.
Wao wanachojua ni kuwasifia wanaowasababishia kwenda chooni.
 
Hata yule wa Chatto alikuwa akielekea huko huko
Bora hata chato iko bara...hivi ikitokea mama akashinda tena 2025 akaamua kuipendelea znz kiwazi kama mzee wa chato ilunafikiri itakua je? Znz haiwezi kuinufaisha znz maana yenyewe haijitoshelezi
 
Hata yule wa Chatto alikuwa akielekea huko huko
Bora hata chato iko bara...hivi ikitokea mama akashinda tena 2025 akaamua kuipendelea znz kiwazi kama mzee wa chato ilunafikiri itakua je? Znz haiwezi kuinufaisha znz maana yenyewe haijitoshelezi.
 
Hizo ndege ni za zanzibar au Tanzania? Maana naona kama kuna mchezo unafanyika hapa.
Mwishon tutakuja kuambiwa ni za Zanzibar kumbe zimenunuliwa na hela ya Tanzania
Ikifikia hatua hiyo,wimbo wa Taifa lazima utapigwa kama 17 March 2021.
Wazalendo wapo.
 
Ama kweli kama wazanzibari hawataki Muungano muda wao ni sasa.

Ndege za ATCL tangu lini zikapokelewa Zanzibar?
Halafu "Hub" ya ATCL ni Dar es salaam!. Hata kama moja iliwahi kulala Mwanza "En route" haihalalishi hizi kupokelewa Zanzibar... Labda baada ya kumaliza route... Sherehe ya mapokezi ikafanyike Zanzibar, nitajaribu kuelewa lakini sioni mantiki.
 
Seikali yetu ilitakiwa iboreshe tu viwanja vya ndege, biashara ya ndege ingewaachia akina fastjet na precision. Haya madege yanakwenda kuwa mzigo mkubwa kwa mwananchi huko mbele.
Halafu hao Precision Air ni kundi la matapeli linalolindwa na Serikali, haiwezekani waruhisiwe kukusanya mitaji kutoka kwa umma halafu mambo yao wayaendeshe kwa siri kiasi hicho. Sijawahi kusikia wakiitisha mkutano wa mwaka kwa wanahisa.
 
Samia kaagiza ziwe za Zanzibar

Zanzibar ni mzigo mkubwa sana kwa Tanganyika

Nyerere alituuza utumwani kama ngamia
Acha uzwazwa...

Kwani Zanzibar ni Madagascar?!!

Hawastahili kupata "shea" ya muungano?!!!

Mpaka umri huo hujajua tu ya kwamba zote TANGANYIKA NA ZANZIBAR zilipoteza mengi tu kuingia katika muungano?!!!

Je zilipoingia muungano umekosa faida?!!

Huzitambui faida za muungano?!!!

Duuuh 😳😳🤣🤣
 
Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Hivi zanzibar kuna tozo?
 
Back
Top Bottom