Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Hizo walizonunua hazina kazi zinapaki kama mwendokasi mbovu
 
Samia kaagiza ziwe za Zanzibar

Zanzibar ni mzigo mkubwa sana kwa Tanganyika

Nyerere alituuza utumwani kama ngamia
Ndo nilitaka kuuliza, Zanzibar wamenunua lini ndege? Au ndo zile za mwamba? Kama ni hivyo, haitoshi kuwa ni za JMT na kupokelewa na raisi wa JMT?

Tuendelee kulegeza macho tu, wana asili ya kifirauni hao
 
Kwani ziliagizwa ngapi! Mbona zinazidi tu kuletwa na wakati zilizopo zenyewe zinatuingizia hasara kutokana na ripoti ya CAG!!
 
NDEGE mbili aina ya Airbus za Shirika la Ndege la Tanzania ATCL zitawasili nchini Oktoba 8 na kupokelewa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi.

Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema ndege hizo zimepewa majina ya Tanzanite na Zanzibar. Ndege hizo zitapokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume mjini Zanzibar zikitokea Canada.
Mbowe sio gaidi
 
Nchi nzima itazizima kwa makopo... we are stupid and rubbish!
Hivi na Sweden wanafanyaga hivyo wakinunua ndege?
Niliangalia delivery of CS300, south Korea na Nepal yaani waliopokea ndoge ni CEO wa shirika na wafanyakaz wa shirika
 
Znz inaunda shirika lake la ndege kwa hela za Tanzania... mpaka 2025 watakua na shirika lao la ndege .
Ccm watueleze huu muungano wanaoupogia debe una manufaa gani?
 
Njiwa mbili zinaenda kutua Zanzibar,si walisema zinaingiza hasara au ni private jet sio daladala
 
Znz inaunda shirika lake la ndege kwa hela za Tanzania... mpaka 2025 watakua na shirika lao la ndege .
Ccm watueleze huu muungano wanaoupogia debe una manufaa gani?
Ndege za Atcl kutua Zanzibar tayari ndege zimekuwa za Zanzibar na malalamiko juu. Mbona mnapenda kujipa stress za bure?!
 
Mimi huwa najiuliza hivi ni kero gani za muungano ambazo kila siku tunaambiwa zimetatuliwa kisirisiri maana juzi eais wa zanzibar na waziri Jafo walikuwa wakiongea na kupongezana kuhusu kutatuliwa kwa kero nyingi toka mama samia amekuwa rais, tukumbuke wazanzibar waliondoa kinyemela swala la mafuta na gesi kuwa la muungano lakini mama samia alipoingia madarakani alienda kusaini haraka haraka mkataba wa bomba la gesi na kenya kwa gesi inayotoka Tanganyika.
Meli wanataka tugawane nusu kwa nusu ndege pia wanataka tuwape za kazi gani watanganyika tuamke tusiuze uhuru wetu kwani ndege zimenunuliwa kwa kodi za watanyika mbona meli zao kama za Mapinduzi hatuhusiki nazo ila za kwetu wanataka ziwe za kwao
 
Anawangoja tu.
Screenshot_20210408-213742.jpg
 
Ndo nilitaka kuuliza, Zanzibar wamenunua lini ndege? Au ndo zile za mwamba? Kama ni hivyo, haitoshi kuwa ni za JMT na kupokelewa na raisi wa JMT?

Tuendelee kulegeza macho tu, wana asili ya kifirauni hao
Zanzibar inaingia Sikonge mara kumi na nne!

2,400 sq km Zanzibar Vs. 28, 000 sq. km Sikonge

Nyerere amekufa anajua Muungano project was a cataclysmic blunder. Wanatu cost matrilioni mpaka leo kuhahudmia ka Zanzibar.

Eti katuunganisha na Zanzibar anasema anatafuta umajumui wa Afrika ( Pan Africanism). Wakati huo huo anawatetea Wanaigeria wa BIAFRA wajitoe Nigeria!
Unafiki wa kiwango cha lami.

Tunataka ndege zetu zirudi Tanganyika.
 
Nchi nzima itazizima kwa makopo... we are stupid and rubbish!
Hivi na Sweden wanafanyaga hivyo wakinunua ndege?
Hayo mandege wakiyapokea inakuuma nini kijana.. Siwameyanunua wao.. Usituunganishe kwenye urubbish wako na stupidity
 
Back
Top Bottom