Kodi tukamuliwe sisi vibarua wa kwa mparange kupokea ndege wakapokee akina Ame wa mchambawima.
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kodi tukamuliwe sisi vibarua wa kwa mparange kupokea ndege wakapokee akina Ame wa mchambawima.
Hizo walizonunua hazina kazi zinapaki kama mwendokasi mbovuNaam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata ndege zaidi za Airbus ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa za masafa ya kati, mfano Dar to Nairobi, Entebe, Lusaka, OR Tambo Nk. Swali linabaki, Je wamejipanga kufika huko kiushindani?
Ndo nilitaka kuuliza, Zanzibar wamenunua lini ndege? Au ndo zile za mwamba? Kama ni hivyo, haitoshi kuwa ni za JMT na kupokelewa na raisi wa JMT?Samia kaagiza ziwe za Zanzibar
Zanzibar ni mzigo mkubwa sana kwa Tanganyika
Nyerere alituuza utumwani kama ngamia
Mbowe sio gaidiNDEGE mbili aina ya Airbus za Shirika la Ndege la Tanzania ATCL zitawasili nchini Oktoba 8 na kupokelewa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi.
Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema ndege hizo zimepewa majina ya Tanzanite na Zanzibar. Ndege hizo zitapokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume mjini Zanzibar zikitokea Canada.
Niliangalia delivery of CS300, south Korea na Nepal yaani waliopokea ndoge ni CEO wa shirika na wafanyakaz wa shirikaNchi nzima itazizima kwa makopo... we are stupid and rubbish!
Hivi na Sweden wanafanyaga hivyo wakinunua ndege?
Unatufananisha na walio tuzid tutafutie levo yetu utulinganishe naoNiliangalia delivery of CS300, south Korea na Nepal yaani waliopokea ndoge ni CEO wa shirika na wafanyakaz wa shirika
Kwani hapa ni Nepal ama South Korea are u mad or something!!?Niliangalia delivery of CS300, south Korea na Nepal yaani waliopokea ndoge ni CEO wa shirika na wafanyakaz wa shirika
Ndege za Zanzibar kivipi Mkuu, kwani kuna Atcl nyingine Zanzibar?!Kodi za bara zinatumika kununua ndege za Zanzibar
Ndege za Atcl kutua Zanzibar tayari ndege zimekuwa za Zanzibar na malalamiko juu. Mbona mnapenda kujipa stress za bure?!Znz inaunda shirika lake la ndege kwa hela za Tanzania... mpaka 2025 watakua na shirika lao la ndege .
Ccm watueleze huu muungano wanaoupogia debe una manufaa gani?
Inaitwa DAWASA mkuuDawasco yenyewe inasuasua
Hapana. Ni ndege za Tanzania.Nimeshangaa kusikia ndege za Tanganyika kupokelewa Zanzibar.
Mbaya zaidi moja imepewa jina la Zanzibar.
Zanzibar inaingia Sikonge mara kumi na nne!Ndo nilitaka kuuliza, Zanzibar wamenunua lini ndege? Au ndo zile za mwamba? Kama ni hivyo, haitoshi kuwa ni za JMT na kupokelewa na raisi wa JMT?
Tuendelee kulegeza macho tu, wana asili ya kifirauni hao
Hayo mandege wakiyapokea inakuuma nini kijana.. Siwameyanunua wao.. Usituunganishe kwenye urubbish wako na stupidityNchi nzima itazizima kwa makopo... we are stupid and rubbish!
Hivi na Sweden wanafanyaga hivyo wakinunua ndege?