Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Wanatuona sisi mazombiMbaya zaidi taarifa inasema wakaendeles na shughuli zao za utalii....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatuona sisi mazombiMbaya zaidi taarifa inasema wakaendeles na shughuli zao za utalii....
Mungu ni mwemaView attachment 2828026
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limethibitisha kutokea kwa ajali mbili za Ndege ( muda tofauti) leo katika uwanja wa Ndege wa Kikoboga uliopo ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi ambapo zaidi ya Watu 60 kwenye Ndege zote mbili wamenusurika.
TANAPA imesema Ndege ya kwanza ya Unity Air 5H-MJH aina ya Embraer 120 majira ya saa 3:40 asubuhi ikiwa na Abiria 30, Marubani wawili na Mhudumu mmoja ikitokea Zanzibar ilipata tatizo la kiufundi wakati wa kutua kiwanjani hapo lakini kwa juhudi kubwa za Marubani na Maafisa wa kiwanja hicho hakuna madhara yaliyojitokeza ambapo Abira wote, Marubani na Muhudumu mmoja wako salama na wanaendelea na ratiba yao ya Utalii hifadhini.
Katika taarifa ya pili, TANAPA imethibitisha kutokea kwa ajali ya pili leoleo saa 9:30 alasiri ikihusisha Ndege ya Kampuni ya Unity Air 5H-FLM aina ya E120 ikiwa na Abiria 30, Marubani wawili na Wahudumu wawili iliyopata ajali wakati wa kuruka katika kiwanja hicho ikielekea Zanzibar ambapo hata hivyo hakuna aliyejeruhiwa katika ajali hiyo ambayo chanzo chake bado hakijafahamika.
“TANAPA ikishirikiana na kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Morogoro na Wadau wa Utalii na usafiri wa anga wanaendelea kushughulikia mabadiliko ya mipango ya safari za Watali husika ili kupunguza adha iliyojitokeza, maeneo ya ndege kuruka na kutua katika kiwanja hicho hayajaathirika hivyo kiwanja kinaendelea kuwa wazi kwa safari za ndege na shughuli za utalii”
“TANAPA imefanya taratibu zote za mawasiliano na idara ya uchunguzi wa ajali za ndege iliyopo Wizara ya Uchukuzi -(AAIB) kwa ajili ya uchunguzi wa matukio tukio hili, Shirika linapenda kutoa shukrani kwa kikosi cha zimamoto na uokoaji Mikumi kwa ufanisi mkubwa katika changamoto hii” ——— imeeleza taarifa ya TANAPA.
Sasa kiwanja kuwa kibovu tena ..sema hivi vindege vidogo vingi ni scraper /used na vibovu bovu sidhani ukaguzi mzuri hufanyika kwenye hivi vindege..imekua too muchWanakwepa kusema ukweli. Kiwanja kibovu hasa wakati huu wa mvua.
Na zote ni model moja.Na zote mbili ni kampuni moja.
Labda ni mbinu ya kuja kuzidumpMbaya zaidi taarifa inasema wakaendeles na shughuli zao za utalii....