Ndege mpya ya kivita ya Kituruki Model tf-x iko katika hatua ya mwisho kuundwa

Ndege mpya ya kivita ya Kituruki Model tf-x iko katika hatua ya mwisho kuundwa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Mpiganaji wa 5 wa Kituruki TF-X kwenye mstari wa mwisho wa mkusanyiko..jpg

Turkish 5th Gen Fighter TF-X prototype on the final assembly line.

20+ meters in length and powered by 2 GE F110 engines. This puts the TF-X in the same league as F-22 Raptor, J-20 Mighty Dragon and Su-57 Felon in terms of size. source. Military Tactics

Ndege ya 5 Kivita ya Kituruki TF-X ipo kwenye mstari wa mwisho wa mkusanyiko.

Urefu wa mita 20+ na inaendeshwa na injini 2 za GE F110. Hii inaiweka TF-X katika ligi sawa na F-22 Raptor, J-20 Mighty Dragon na Su-57 Felon kulingana na ukubwa.
 
T14 Armata pitia hapa....
View attachment 2701568
Turkish 5th Gen Fighter TF-X prototype on the final assembly line.
20+ meters in length and powered by 2 GE F110 engines. This puts the TF-X in the same league as F-22 Raptor, J-20 Mighty Dragon and Su-57 Felon in terms of size. source. Military Tactics

Ndege ya 5 Kivita ya Kituruki TF-X ipo kwenye mstari wa mwisho wa mkusanyiko.
Urefu wa mita 20+ na inaendeshwa na injini 2 za GE F110. Hii inaiweka TF-X katika ligi sawa na F-22 Raptor, J-20 Mighty Dragon na Su-57 Felon kulingana na ukubwa.
Waturuki wanakuja juu kwa Kasi mno, ila mbona bado wanatumia mabilioni kununua na ku-upgrade F-16 zao ? Wakati wanaweza kuunda zao ?
 
Kwa ninavyoona TF-X inahitaji miaka isiyopungua 10 mpaka iwe deployable, tena hapo nimekuwa optimistic. Haijapata firts flight nadhani, mwaka huu ilikuwa na taxiing.
Uturuki inatafuta ndege kama stopgap ya kusubiri TF-X ikamilike. F-16 zake zinakaribia kuwa retired na Turkey iliondolewa kwenye project ya F-35. Possible stopgap inaweza kuwa F-16 tranche mpya kama walizonunua Qatar, kwa mbali sana ilikuwa inatajwa J-10 ya China.

TF-X inatumia General Electric F110 mojawapo ya very successful fighter engines available ila hii sio injini ya stealth fighter. Imetumika kama powerplant ya F-16, F-15 (ambako zinakuwa twin), Saab Jas-39 Gripen ya Sweden na nadhani hata F-14 Tomcat ilitumia hii au previous type yake.
Baadae wanaweza fikiria kufanya upgrade ya injini iliyo stealth, ni endapo watakuwa wamefanya design inayoficha injini kama hiyo design hamna basi hakuna haja na stealth capabilities will be compromised sababu ya heat inayotolewa na injini. Chinese nao J-20 yao haina injini yake halisi ya WS-15 bado iko kwenye testing, inawatesa sana injini hii.
Na Russia vilevile Su-57 haina injini yake halisi ya Izdeliye 30, bado inatumia AL-41.
F-22 na F-35 zinatumia injini zake zenyewe mahususi kwa stealth.

Wengine wenye projects za stealth fighters ni Uingereza hawa walikuwa kwenye hatihati ya kutoa 6th generation. South Korea wana Boramae, wanataka kushirikiana na UK. Japan nao kama sikosei wana yao. Ufaransa hataki 5th generation anafanya modernization ya Dassault Rafale anasubiri aende direct kwa 6th gen.
Ujerumani, Italy na Spain inawezekana watatengeneza consortium kama ile iliyotoa Eurofighter Typhoon, ila this time haitokuwa na UK. Na F-35 imeharibu hapo katikati wameinunua kasoro Ufaransa ambaye anapenda sana kukuza arms industry yake.
 
Wengine wenye projects za stealth fighters ni Uingereza hawa walikuwa kwenye hatihati ya kutoa 6th generation. South Korea wana Boramae, wanataka kushirikiana na UK. Japan nao kama sikosei wana yao. Ufaransa hataki 5th generation anafanya modernization ya Dassault Rafale anasubiri aende direct kwa 6th gen.
Kuna kipindi UK walisema watashirikiana na Japan na Italy kutengeneza hiyo 6th gen......ila hili dili huenda likaweka ushindani kwa makampuni ya US kwenye soko....sijajua kwanini Germany ipo nyuma sana kwenye hizi mbio ?....japo France angalau inataka iweze kujitegemea kivyake.

Inashangaza namna makampuni ya silaha za US yameteka soko la Ulaya kuliko kampuni za Ulaya.
 
Kwa ninavyoona TF-X inahitaji miaka isiyopungua 10 mpaka iwe deployable, tena hapo nimekuwa optimistic. Haijapata firts flight nadhani, mwaka huu ilikuwa na taxiing.
Uturuki inatafuta ndege kama stopgap ya kusubiri TF-X ikamilike. F-16 zake zinakaribia kuwa retired na Turkey iliondolewa kwenye project ya F-35. Possible stopgap inaweza kuwa F-16 tranche mpya kama walizonunua Qatar, kwa mbali sana ilikuwa inatajwa J-10 ya China.

TF-X inatumia General Electric F110 mojawapo ya very successful fighter engines available ila hii sio injini ya stealth fighter. Imetumika kama powerplant ya F-16, F-15 (ambako zinakuwa twin), Saab Jas-39 Gripen ya Sweden na nadhani hata F-14 Tomcat ilitumia hii au previous type yake.
Baadae wanaweza fikiria kufanya upgrade ya injini iliyo stealth, ni endapo watakuwa wamefanya design inayoficha injini kama hiyo design hamna basi hakuna haja na stealth capabilities will be compromised sababu ya heat inayotolewa na injini. Chinese nao J-20 yao haina injini yake halisi ya WS-15 bado iko kwenye testing, inawatesa sana injini hii.
Na Russia vilevile Su-57 haina injini yake halisi ya Izdeliye 30, bado inatumia AL-41.
F-22 na F-35 zinatumia injini zake zenyewe mahususi kwa stealth.

Wengine wenye projects za stealth fighters ni Uingereza hawa walikuwa kwenye hatihati ya kutoa 6th generation. South Korea wana Boramae, wanataka kushirikiana na UK. Japan nao kama sikosei wana yao. Ufaransa hataki 5th generation anafanya modernization ya Dassault Rafale anasubiri aende direct kwa 6th gen.
Ujerumani, Italy na Spain inawezekana watatengeneza consortium kama ile iliyotoa Eurofighter Typhoon, ila this time haitokuwa na UK. Na F-35 imeharibu hapo katikati wameinunua kasoro Ufaransa ambaye anapenda sana kukuza arms industry yake.
Hii kitu umetoa kichwani? Au control c control v
 
Kuna kipindi UK walisema watashirikiana na Japan na Italy kutengeneza hiyo 6th gen......ila hili dili huenda likaweka ushindani kwa makampuni ya US kwenye soko....sijajua kwanini Germany ipo nyuma sana kwenye hizi mbio ?....japo France angalau inataka iweze kujitegemea kivyake.

Inashangaza namna makampuni ya silaha za US yameteka soko la Ulaya kuliko kampuni za Ulaya.
UK bado anaweza pata partners wengine. Tatizo huwa linakuwa kwa capabilities, share ya makampuni ya nchi na cost. Hivyo vitu vikitofautiana vinaleta ugumu wa kushirikiana inakuwa kama France ilivyojitoa kwa Eurofighter Typhoon ikajiundia Dassault Rafale. Cha ajabu Rafale inauza na ina uwezo kuliko Typhoon, ila ina bei kubwa sababu ya cost per unit distribution ni ndogo
 
Hii kitu umetoa kichwani? Au control c control v
Nimetoa kichwani. Ni kama ambavyo kuna watu wanaweza jadili ligi kuu za nchi mbalimbali, mwaka fulani timu fulani ilifungwa goli kadhaa, fulani alisajiliwa kutoka timu fulani, mchezaji huyu ana umri huu na ni raia wa nchi hii ila ana asili ya nchi ile. Hivyo sasa mimi siwezi
 
Nimetoa kichwani. Ni kama ambavyo kuna watu wanaweza jadili ligi kuu za nchi mbalimbali, mwaka fulani timu fulani ilifungwa goli kadhaa, fulani alisajiliwa kutoka timu fulani, mchezaji huyu ana umri huu na ni raia wa nchi hii ila ana asili ya nchi ile. Hivyo sasa mimi siwezi
Mpira ni tofauti na taarifa za vifaaa vya kijeshi! Maana unakuta taarifa zingn ni confidential sasa ww unajuaje mpaka wanazotaka kutengeneza?
 
Mpira ni tofauti na taarifa za vifaaa vya kijeshi! Maana unakuta taarifa zingn ni confidential sasa ww unajuaje mpaka wanazotaka kutengeneza?
Majeshi ya wenzetu hata mkuu wa jeshi anajulikana mshahara wake na marupurupu yake yote. Hizo programu sio za siri, wanatangaza na wanakuwa na events kama Paris Airshow, Zuai Airshow, juzi Alhamisi North Korea wakaonyesha drone yao mpya kwenye mahadhimisho ya miaka 70 ya vita ya Korea.
Na wanakuwa na matangazo ya matukio kwenye tovuti zao, za makampuni na vikosi vina taarifa zao mfano Marekani kila uwanja wa ndege wa kijeshi una page yake mtandaoni.

Taarifa za siri zinabaki siri, fighter program haiwi siri hiyo siyo recon.
It's the matter of priorities, huo mpira unaosema ni tofauti mimi taarifa zake huwa sioni na hata nikisoma leoleo zinayeyuka kichwani
 
uturuki imekubaliwa kuingia NATO kwasababu ya stratejia yao ya njia ya bahari kwenda urusi. hiyo yote ilikuwa ni kuimanage urusi. ule uchochoro toka middle east hadi bahari nyeusi, crimea lazima uturuki ni mtu muhimu sana kwa wazungu. ila ukija kwenye upendo halisi, wazungu hawawapendi waturuki kwasababu ya dini, ndio maana hadi kesho hawapo kwenye european union. miaka nenda rudi uturuki haijulikani ipo bara gani, bado imewekwa kwamba ipo bara la Asia, hawataki iwe bara la ulaya kwasababu ya itikadi hizo. kama unajua, hebu niambia, sisi tupo bara la afrika, uturuki ipo bara gani? na wale ni wazungu nusu wa middle east nusu hata kwa sura.
Wapo UEFA
 
hata wakiwepo uefa, lakini sio nchi ya ulaya. ni sawa na kuialika nchi yeyote ya SADC iwe kweney CECAFA kagame cup.
Si kweli babu,kwani wagiriki ni wazungu Kama waingereza faransa German nk!?.. turkey ipo ulaya,ni lango baina ya ulaya na Asia
 
Si kweli babu,kwani wagiriki ni wazungu Kama waingereza faransa German nk!?.. turkey ipo ulaya,ni lango baina ya ulaya na Asia
ugiriki ipo south east europe yote, ila turkey ipi katikati, upande mkubwa upo Asia na upande kidogo ipo europe, mfano,jiji la Istambul lina pande mbili, upande mmoja ulaya upande mwingine ulio mkubwa Asia. na kwasababu the largest part of Turkey is in Asia, ndio maana inahesabika kuwa sio Ulaya, ni Asia. unlike ugiriki ambayo yooote ipo South east Europe. na ipo kwenye European Union, same applies kwa Kipro/Cyprus.
 
Back
Top Bottom