ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππππMimi siyo Tulia, Tulia ni Spika wa bunge la Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππππMimi siyo Tulia, Tulia ni Spika wa bunge la Tanzania.
Sina kumbukumbu nzuri kati ya Japan na South Korea ni nani mwaka jana walisitisha kutengeneza quasi aircraft carriers kuwekeza zaidi kwenye diesel submarines sababu ya North Korea. Wale wana helicopter destroyers ambazo sio true carriers ndio maana zinalazimika kubeba ndege yenye STOVL kama F-35.Japan walitaka kununua F-35B za kutumika kwenye Carrie yake 'Izumo' kama njia ya kukabiliana na China.
![]()
F-35B Upgrades Near Completion Aboard Japanese Warship Kaga - USNI News
Modification work turning Japan Maritime Self-Defense Force helicopter destroyer JS Kaga into an F-35B aircraft carrier are nearing completion at a dock in Kure City, Hiroshima Prefecture, located in the western part of Japanβs Honshu Island. Kaga, the second ship of the Izumo-class DDH, has...www.google.com
Ila Japan inaweza ikawa military power hasa kwenye naval na air force ikiamua kulegeza sera zake na kupunguza kuitegemea US .
....natamani kuona project yao ya 6th gen. (watakayoifanya binafsi au kushirikiana na Washirika hasa Australia) nione italeta matokeo gani hasa kwenye ushindani na makampuni ya US.
Kama ushirika wao na US ni mkubwa hivyo, mbona iliripotiwa kuna vikwazo viliwekwa na US (kwenye stealth technology) vilivyoharibu mpango wa 6th gen kati ya Japan na (UK au Australia) nadhani,Japan inaitegemea US na inapata faida sio hasara. Silaha nyingi wanafanya licence production ya za Marekani na haipati shida sana sababu hawaendi kuziuza soko la kimataifa kuwaaribia biashara. Na vilevile Japan ni ally mkubwa kati ya watatu muhimu zaidi kwa Marekani.
Hakuna option nyingine ukitaka carrier based STOVL zaidi ya F-35, Harrier ilishastaafu muda mrefu.
Wa israel inaesupport ushoga? Na analiwa nyuma?pamoja na kutisha kote, haifui dagu kwa Mwisrael, anawachapa wapalestina pale na uturuki kafyata mkia hawezi kupiga hata chafya. dege au uwezo kama huo angekuwa nao Iran, angeshajilipua though hawezi kushindana na Mungu wa Israel, atafyekwa.
Hili jibu umenikumbusha mbali sana kuna thread ilikuwa inazungumzia issue za stealth technology ulipandishwa na FRANC THE GREAT kuna vitu mlikuwa mkielekezana hasa kuhusu configuration ya silaha na hadi chombo kiwe na Hali ya stealth inabidi kuwa vipi unatoa picha kila brain ila jambo lake ambalo ndiyo priority.Nimetoa kichwani. Ni kama ambavyo kuna watu wanaweza jadili ligi kuu za nchi mbalimbali, mwaka fulani timu fulani ilifungwa goli kadhaa, fulani alisajiliwa kutoka timu fulani, mchezaji huyu ana umri huu na ni raia wa nchi hii ila ana asili ya nchi ile. Hivyo sasa mimi siwezi
Kazi kubwa sana ya jeshi huwa nasema ni deterrence, kumtishia possible enemy asijichanganye. Ukiwa na mbwa mkali German shepherd getini kwako unamlisha nyama kila siku anatumia gharama, usipoangalia utaona anakutia hasara sababu hajawahi kukamata mwizi. Kumbe kitendo cha yeye kuwepo anabweka na kukoromea watu basi vibaka watajua nyumba ile ina mbwa mkali na hawatokuja. Sasa ukimfungia asibekwe na asionekane hawatojua hatari yake.Ngoja niendelee kujifunza lakini Sasa kama hizi taarifa zote zinakua exposed usalama upo wapi? Mfano Leo Israel pale middle east anauhasama na mataifa mengi ya kiarabu na unakuta haya mataifa yanajua zana za kivita za Israel, huoni kama Israel anakua kwenye risk kubwaπ§π§
Kwa sababu upo na uelewa na hv vitu Kuna mambo natamani unisaidie;
1. Kwanini kunakua na masharti kwenye matumizi ya baadhi ya zana za vita mfano juzi Kati BBC waliripoti kwamba Biden kuna silaha Fulani sizikumbuki vizuri jina alikua anataka kuwapa Ukraine lakini akawa anataka kuungwa Mkono na mataifa kama France,German & UK, wanadai haziruhusiwi kutumika π€kama tunapigana si tupigane tu tusichaguliane namna Wala zzana za kutumia
2. Wakati wa mgogoro Kati ya Russia Vs Ukraine kuna kipind waliingia mkataba wa kusafirisha nafaka kupitia bahari nyeusi, Sasa pale mataifa makubwa yamemuwekea vikwazo Urusi na bado wanasaidia Ukraine silaha inakuaje wanaingia makubaliano π€π€mengine hadi kubadilishana wafungwa
ππNaomba kuwasilisha
Shukran sana kwa ufafanuzi ππhapo nimekuelewa vizuri kabisaKazi kubwa sana ya jeshi huwa nasema ni deterrence, kumtishia possible enemy asijichanganye. Ukiwa na mbwa mkali German shepherd getini kwako unamlisha nyama kila siku anatumia gharama, usipoangalia utaona anakutia hasara sababu hajawahi kukamata mwizi. Kumbe kitendo cha yeye kuwepo anabweka na kukoromea watu basi vibaka watajua nyumba ile ina mbwa mkali na hawatokuja. Sasa ukimfungia asibekwe na asionekane hawatojua hatari yake.
Hivyo Israel ina silaha na inaonyesha ili kuwaumiza kichwa maadui wasijaribu, na inawaacha njia panda hawajui uwezo halisi wa hizo silaha. Unajua nina German shepherd ila hujui anafunguliwa saa ngapi na je huwa anang'ata kweli au anabweka mpaka mmiliki aje kukufukuza.
Hata adui akitaka kuja lazima bunge lake, jeshi lake, raia wake waumize kichwa wawaze na kujifikiria hasara watakayopata hata kama wanaamini watashinda. Na mara nyingi wanaghairi wakiwa kwenye vikao vyao vya siri, ila kwenye public wanakuwa na mbwembwe na ushabiki. Hiyo ndiyo deterrence.
Pia inajulikana sababu silaha zinanunuliwa kwa tenda, kuna ushindani wa makampuni. Pia kuna accountability na auditing, na raia wanapaswa kuambiwa matumizi ya bajeti yao kwa kifupi.
1. Hizo silaha ni vifaru vya M1 Abrams ambavyo alifanya kama kuwalaghai Ujerumani na Uingereza watume vya kwao Leopard 1 na Challenger 1 sababu yeye Abrams zina depleted uranium armour ambayo kisheria hawatakiwi kumpa yeyote, hiyo ni siri.
Au utakuwa unasema cruster munitions ambazo kuna mkataba wa kimataifa kuzizuia ila Marekani na Urusi hawakusaini. Cruster munitions ni mabomu yenye vibomu vidogovidogo, huwa vyote haviripuki na vingine huwa vinaruka mbali na eneo lengwa ndio maana UN inavikataza. Ni kama uchukue mfuko wa vitenesi urushe kutoka kilomita mbili angani ukilenga vidondoke uwanjani.
Vita haziendeshi kipuuzi na kijinga, labda kwa nchi maandazi. Kuna mikataba kama wa Geneva. Bila hivyo atatokea mwendawazimu kwenye vita ataua wanafunzi shuleni, atafika kijijini amwage sumu kwenye visima, atakutana na hospitali aichome moto.
2. Urusi na Ukraine ni wauzaji wakubwa wa nafaka. Vita yao inasababisha kupanda kwa bei za vyakula hasa nafaka na hasahasa ngano. Ila sasa, wote kwa pamoja wanazitaka hizo hela za kuuza nafaka yao hivyo wakaingia kwenye makubaliano. Kubadilishana wafungwa ni kawaida, wasipobadilishwa watakuwa prisoners of war (POWs) na wana haki zao nyingi tu. Mradi umeamua uwateke ukae nao inabidi uzingatie so utaamua uzingatie haki (ni gharama) au ubadilishane na wa kwako ambayo huongeza morali kwa wapiganaji wako.
Ukimteka mwanangu nami nikamteka mwanao, chagua mawili kati ya matatu
a) kumtesa wangu nami nikamtesa wako
b) turudishiane kila mtu mwanae
c) ukae naye umtunze vizuri nami wako nimtunze vizuri mpaka pale tofauti zetu zitakapoisha.
Ndio maana kuna nchi zinapigana vita nyingi sana na miaka mingi ila hujawahi sikia majenerali wake au hizo nchi zinashtakiwa kwa kukiuka haki za binadamu. Vita ni kazi, ni maisha, ni kipaji. Kuna sheria za kukiendesha
Haya mambo ya Ushirika yana mengi sana.Japan inaitegemea US na inapata faida sio hasara. Silaha nyingi wanafanya licence production ya za Marekani na haipati shida sana sababu hawaendi kuziuza soko la kimataifa kuwaaribia biashara.
Turkey [emoji1250] au Uturuki ni Transcontinental countryhata wakiwepo uefa, lakini sio nchi ya ulaya. ni sawa na kuialika nchi yeyote ya SADC iwe kweney CECAFA kagame cup.
Ushirika upo ila haimaanishi kuharibiana biashara.Kama ushirika wao na US ni mkubwa hivyo, mbona iliripotiwa kuna vikwazo viliwekwa na US (kwenye stealth technology) vilivyoharibu mpango wa 6th gen kati ya Japan na (UK au Australia) nadhani,
Au lengo la vikwazo lilikuwa kuyanufaisha makampuni ya silaha za Marekani dhidi ya zile za Ulaya ?
Sina kumbukumbu nzuri kati ya Japan na South Korea ni nani mwaka jana walisitisha kutengeneza quasi aircraft carriers kuwekeza zaidi kwenye diesel submarines sababu ya North Korea. Wale wana helicopter destroyers ambazo sio true carriers ndio maana zinalazimika kubeba ndege yenye STOVL kama F-35.
Uturuki wanajenga TCG Anadolu ni kama amphibious assault ship na walitakiwa waipatie F-35 ila ndio hivyo hawauziwi, wataweka drones nimesahau sijui ni Anka, Aksungur au TB3.
Russia wao aircraft carrier yao pekee Admiral Kuznetsov sometimes iko classified kama heavy cruiser au heavy missile carrier.
China, UK, France na India zina carriers. US Navy ina supercarriers kama hii Ford class.
Japan inaitegemea US na inapata faida sio hasara. Silaha nyingi wanafanya licence production ya za Marekani na haipati shida sana sababu hawaendi kuziuza soko la kimataifa kuwaaribia biashara. Na vilevile Japan ni ally mkubwa kati ya watatu muhimu zaidi kwa Marekani.
Hakuna option nyingine ukitaka carrier based STOVL zaidi ya F-35, Harrier ilishastaafu muda mrefu.
Hahahaha hii ni kwa ajili ya kumuua binaadamu na siyo simba wala tembo.View attachment 2701568
Turkish 5th Gen Fighter TF-X prototype on the final assembly line.
20+ meters in length and powered by 2 GE F110 engines. This puts the TF-X in the same league as F-22 Raptor, J-20 Mighty Dragon and Su-57 Felon in terms of size. source. Military Tactics
Ndege ya 5 Kivita ya Kituruki TF-X ipo kwenye mstari wa mwisho wa mkusanyiko.
Urefu wa mita 20+ na inaendeshwa na injini 2 za GE F110. Hii inaiweka TF-X katika ligi sawa na F-22 Raptor, J-20 Mighty Dragon na Su-57 Felon kulingana na ukubwa.
Uzuri wao kila kitu hujadiliwa. Hata ndege nazo zinaweza pigwa na anti aircraft missiles ila hawajawahi acha kuzitengeneza, wala mwanajeshi sababu anapigwa na risasi hakujawahi kukosekana umuhimu wake, wala kifaru kisa kina ATM inakipiga hawajaacha kutengeneza.Ila kuna sehemu nilisoma Bunge la Marekani wanajadili kama kuna haja ya kuendelea kuzalisha carriers kwa sababu wanaamini kwenye vita serious zitakuwa ndio target na ni hasara kubwa sana endapo hata Carrier moja tu itazamishwa na kumbuka China, Russia wote hao wana makombola ya kuweza kuzamisha Carriers
ushoga ni dhambi. hata hivyo mwarabu hana mdomo kujifanya halijui hili kwasababu ikikamata wanawake wa kiarabu 100 ambao wana marinda hawafiki 20. hata kwa hapa bongo tu, mwarabu ni mtu anayeogopwa mno hata akitaka kusogelea mtoto, mambo ya kipemba yanawezatokea. kwanini yasiitwe mambo ya kinyamwezi ila ya kipemba? hapo jibu unalo. fumba tu mdomo uombe Mungu aokoe dunia hii ila kwa habari ya dhambi hiyo, dunia ya imani yenu imeathirika sana na kwa unafiki huwa inajifanya kupinga.Mungu
Wa israel inaesupport ushoga? Na analiwa nyuma?
Israel wanacheza UEFA vipi nao wapo Ulaya mkuu!!??Wapo UEFA
Israel wapo mashariki zaidi,mbali toka ulaya,Kama jografia yangu haijaliwa na mchwaIsrael wanacheza UEFA vipi nao wapo Ulaya mkuu!!??
Kazakhstan, Azerbaijan, Armenia, Cyprus na Israel...zinashiriki tu mashindano ya UEFA lakini hazipo Ulaya... Ni transcontinental countries na mostly zipo Asia.... Kama Morroco tu hakuwa AU lakini anashiriki mashindano ya CAF ....Sasa Cyprus na turkey Kuna tofauti gani!?..wanagombea Hadi mipaka
Ndio maana nimeuliza Kwa nini wanashiriki UEFA na sio mashindano ya bara walilopo!!?.... Maana umesema tu " WAPO UEFA"... Ndio nakuongezea na nchi hizo zingine...ambaxo pia wanacheza UEFA lakiolni hawapo Europe.Israel wapo mashariki zaidi,mbali toka ulaya,Kama jografia yangu haijaliwa na mchwa
Uyo mwarabu alimtoa marinda mama yako?ushoga ni dhambi. hata hivyo mwarabu hana mdomo kujifanya halijui hili kwasababu ikikamata wanawake wa kiarabu 100 ambao wana marinda hawafiki 20. hata kwa hapa bongo tu, mwarabu ni mtu anayeogopwa mno hata akitaka kusogelea mtoto, mambo ya kipemba yanawezatokea. kwanini yasiitwe mambo ya kinyamwezi ila ya kipemba? hapo jibu unalo. fumba tu mdomo uombe Mungu aokoe dunia hii ila kwa habari ya dhambi hiyo, dunia ya imani yenu imeathirika sana na kwa unafiki huwa inajifanya kupinga.