Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
pamoja na kutisha kote, haifui dagu kwa Mwisrael, anawachapa wapalestina pale na uturuki kafyata mkia hawezi kupiga hata chafya. dege au uwezo kama huo angekuwa nao Iran, angeshajilipua though hawezi kushindana na Mungu wa Israel, atafyekwa.Inatisha.
You're right.pamoja na kutisha kote, haifui dagu kwa Mwisrael, anawachapa wapalestina pale na uturuki kafyata mkia hawezi kupiga hata chafya. dege au uwezo kama huo angekuwa nao Iran, angeshajilipua though hawezi kushindana na Mungu wa Israel, atafyekwa.
yap, hasa hapo kwenye Mungu wa Israel, ambaye sio allah ofcourse.You're right.
Ndo maana nlivomuuliza kanifafanulia vizuri maana taarifa anazotoa kidogo zipo hotWatu wote hawawezi kufanana na wewe bwana ndio maana hata darasani kuna wa kwanza na wa mwisho.
Vipi kuhusu Japan mkuu najua technically wapo advanced sana ila kwenye hizi marathon za kijeshi hatuwaoni kabisa kwenye chart wenyewe hawajaanza development ya hizi fifth generation?Kwa ninavyoona TF-X inahitaji miaka isiyopungua 10 mpaka iwe deployable, tena hapo nimekuwa optimistic. Haijapata firts flight nadhani, mwaka huu ilikuwa na taxiing.
Uturuki inatafuta ndege kama stopgap ya kusubiri TF-X ikamilike. F-16 zake zinakaribia kuwa retired na Turkey iliondolewa kwenye project ya F-35. Possible stopgap inaweza kuwa F-16 tranche mpya kama walizonunua Qatar, kwa mbali sana ilikuwa inatajwa J-10 ya China.
TF-X inatumia General Electric F110 mojawapo ya very successful fighter engines available ila hii sio injini ya stealth fighter. Imetumika kama powerplant ya F-16, F-15 (ambako zinakuwa twin), Saab Jas-39 Gripen ya Sweden na nadhani hata F-14 Tomcat ilitumia hii au previous type yake.
Baadae wanaweza fikiria kufanya upgrade ya injini iliyo stealth, ni endapo watakuwa wamefanya design inayoficha injini kama hiyo design hamna basi hakuna haja na stealth capabilities will be compromised sababu ya heat inayotolewa na injini. Chinese nao J-20 yao haina injini yake halisi ya WS-15 bado iko kwenye testing, inawatesa sana injini hii.
Na Russia vilevile Su-57 haina injini yake halisi ya Izdeliye 30, bado inatumia AL-41.
F-22 na F-35 zinatumia injini zake zenyewe mahususi kwa stealth.
Wengine wenye projects za stealth fighters ni Uingereza hawa walikuwa kwenye hatihati ya kutoa 6th generation. South Korea wana Boramae, wanataka kushirikiana na UK. Japan nao kama sikosei wana yao. Ufaransa hataki 5th generation anafanya modernization ya Dassault Rafale anasubiri aende direct kwa 6th gen.
Ujerumani, Italy na Spain inawezekana watatengeneza consortium kama ile iliyotoa Eurofighter Typhoon, ila this time haitokuwa na UK. Na F-35 imeharibu hapo katikati wameinunua kasoro Ufaransa ambaye anapenda sana kukuza arms industry yake.
Huko kwenye military ntakua mwanafunzi kila Siku!Majeshi ya wenzetu hata mkuu wa jeshi anajulikana mshahara wake na marupurupu yake yote. Hizo programu sio za siri, wanatangaza na wanakuwa na events kama Paris Airshow, Zuai Airshow, juzi Alhamisi North Korea wakaonyesha drone yao mpya kwenye mahadhimisho ya miaka 70 ya vita ya Korea.
Na wanakuwa na matangazo ya matukio kwenye tovuti zao, za makampuni na vikosi vina taarifa zao mfano Marekani kila uwanja wa ndege wa kijeshi una page yake mtandaoni.
Taarifa za siri zinabaki siri, fighter program haiwi siri hiyo siyo recon.
It's the matter of priorities, huo mpira unaosema ni tofauti mimi taarifa zake huwa sioni na hata nikisoma leoleo zinayeyuka kichwani
Kwani mpaka wa ulaya uko wapi?ugiriki ipo south east europe yote, ila turkey ipi katikati, upande mkubwa upo Asia na upande kidogo ipo europe, mfano,jiji la Istambul lina pande mbili, upande mmoja ulaya upande mwingine ulio mkubwa Asia. na kwasababu the largest part of Turkey is in Asia, ndio maana inahesabika kuwa sio Ulaya, ni Asia. unlike ugiriki ambayo yooote ipo South east Europe. na ipo kwenye European Union, same applies kwa Kipro/Cyprus.
Sasa Cyprus na turkey Kuna tofauti gani!?..wanagombea Hadi mipakaugiriki ipo south east europe yote, ila turkey ipi katikati, upande mkubwa upo Asia na upande kidogo ipo europe, mfano,jiji la Istambul lina pande mbili, upande mmoja ulaya upande mwingine ulio mkubwa Asia. na kwasababu the largest part of Turkey is in Asia, ndio maana inahesabika kuwa sio Ulaya, ni Asia. unlike ugiriki ambayo yooote ipo South east Europe. na ipo kwenye European Union, same applies kwa Kipro/Cyprus.
cyprus ugomvi uliopo wewe hauujui. ndani ya cyprus kuna asilimia karibia 80 ya watu wenye asili ya ugiriki, hao wamekuwa supporten na ugiriki tangu enzi kama urusi anavyosapoti watu wa kabila lake kule ukraine. upande wa juu wa kisiwa cha cyprus kuna kipande kidogo kuna raia wenye asili ya uturuki, na hao ni waislam. hao wamekuwa supported na turkey for years. ndio maana ugiriki na uturuki wamekuwa wakipigana vita miaka mingi ila kwenye ardhi ya cyprus. ile pande ya cyprus ambayo ni ya ugiriki, inatambuliwa kuwa ni european union tangu 2004, ile pande yenye waturuki haitambuliki hadi kesho ni watu wasio na taifa. cyprus ipo EU na wanatumia euro. although, kijiografia, cyprus ni technically europe, kiuhalisia ipo upande wa Eurasia (Asia) lakini kwasababu ni kama wagiriki, imeunganishwa na ugiriki.Sasa Cyprus na turkey Kuna tofauti gani!?..wanagombea Hadi mipaka
Watu wanajua hadi mishahara ya wachezaji 😂Nimetoa kichwani. Ni kama ambavyo kuna watu wanaweza jadili ligi kuu za nchi mbalimbali, mwaka fulani timu fulani ilifungwa goli kadhaa, fulani alisajiliwa kutoka timu fulani, mchezaji huyu ana umri huu na ni raia wa nchi hii ila ana asili ya nchi ile. Hivyo sasa mimi siwezi
You're right.yap, hasa hapo kwenye Mungu wa Israel, ambaye sio allah ofcourse.
Haiondoi hoja kwamba wanagombea mipakacyprus ugomvi uliopo wewe hauujui. ndani ya cyprus kuna asilimia karibia 80 ya watu wenye asili ya ugiriki, hao wamekuwa supporten na ugiriki tangu enzi kama urusi anavyosapoti watu wa kabila lake kule ukraine. upande wa juu wa kisiwa cha cyprus kuna kipande kidogo kuna raia wenye asili ya uturuki, na hao ni waislam. hao wamekuwa supported na turkey for years. ndio maana ugiriki na uturuki wamekuwa wakipigana vita miaka mingi ila kwenye ardhi ya cyprus. ile pande ya cyprus ambayo ni ya ugiriki, inatambuliwa kuwa ni european union tangu 2004, ile pande yenye waturuki haitambuliki hadi kesho ni watu wasio na taifa. cyprus ipo EU na wanatumia euro. although, kijiografia, cyprus ni technically europe, kiuhalisia ipo upande wa Eurasia (Asia) lakini kwasababu ni kama wagiriki, imeunganishwa na ugiriki.
Sasa kule usiwe mzembe sababu taarifa hutokumbana nazo bali utazitafuta, kwenye mpira unaweza enda stand asubuhi kila mtu anajua Yanga wamesaini nani jana ila kuna mambo hayajulikani kijiweni. Baada ya muda fulani utakuwa ushaelewa. Kama kwenye mpira unakuwa na shauku kujua matokeo ya Bundesliga, La Liga, Serie A. Kwenye ulinzi utajua MAKS Airshow ya Urusi ni lini na inatarajiwa wataonyesha nini, utajua Zhuhai Airshow ya China ni lini, utajua Paris Arms Expo kumeonekana nini kipya, Turkey kwenye expo yao, Falme za Kiarabu nao. Utajua makampuni ya silaha makubwa kama unavyojua timu za mpira.Huko kwenye military ntakua mwanafunzi kila Siku!
Mitsubishi wana project ya F-X na ni serious project.Vipi kuhusu Japan mkuu najua technically wapo advanced sana ila kwenye hizi marathon za kijeshi hatuwaoni kabisa kwenye chart wenyewe hawajaanza development ya hizi fifth generation?
Ngoja niendelee kujifunza lakini Sasa kama hizi taarifa zote zinakua exposed usalama upo wapi? Mfano Leo Israel pale middle east anauhasama na mataifa mengi ya kiarabu na unakuta haya mataifa yanajua zana za kivita za Israel, huoni kama Israel anakua kwenye risk kubwa🧐🧐Sasa kule usiwe mzembe sababu taarifa hutokumbana nazo bali utazitafuta, kwenye mpira unaweza enda stand asubuhi kila mtu anajua Yanga wamesaini nani jana ila kuna mambo hayajulikani kijiweni. Baada ya muda fulani utakuwa ushaelewa. Kama kwenye mpira unakuwa na shauku kujua matokeo ya Bundesliga, La Liga, Serie A. Kwenye ulinzi utajua MAKS Airshow ya Urusi ni lini na inatarajiwa wataonyesha nini, utajua Zhuhai Airshow ya China ni lini, utajua Paris Arms Expo kumeonekana nini kipya, Turkey kwenye expo yao, Falme za Kiarabu nao. Utajua makampuni ya silaha makubwa kama unavyojua timu za mpira.
Nafollow waandishi wa ulinzi Twitter, nasoma articles zao, nasoma magazines kama 1945, The Drive, War is Boring, Bulgarian Military, National Interest. YouTube baadhi ya channels za uhakika.
Ukishaanza hivyo algorithm ya mtandao itakusaidia kukuletea habari unazopendelea. Google haiwezi niletea mambo ya Zuchu maana kupitia cookies inajua huwa siyasomi, nikifungua nakutana na hivi na vitu vingine navyopendaView attachment 2702437
Japan walitaka kununua F-35B za kutumika kwenye Carrie yake 'Izumo' kama njia ya kukabiliana na China.Mitsubishi wana project ya F-X na ni serious project.
Ndege nyingi prototype zinaitwa something-X then zikikamilika ndio zinaitwa something-suffix ya version inayofuata, hata experimental aircrafts zinakuwa na -X mwishoni hasa NASA wanazo nyingi wanaweza lipia hela zitengenezwe ndege mbili tu watest concept kisha wazibe mdomo na hizi ndio zinakuwa za siri.
Ni Western culture ambayo Russia na China hawafuati.
Russia wao wana mfumo mgumu sana ambao kuna jopo sijui taasisi inatoa namba kwa kila silaha. Mfano Akula class submarine ni Project 971, na hizi namba hazina mtiririko maalum ni namna jopo litakavyoamua. Kisha project ina jina la prototype na jina la type (kama ni prototype ya kitu muhimu kama frontline fighter, kifaru, etc). Su-57 prototype name yake ni PAK-FA. Pia kuna sababu nyingine inachangia kama jina halina bahati labda prototype ilipata crashes nyingi wanaona lina gundu. Kwenye military aviation mambo ya bahati, mkosi, fate, gundu, nyota wanayazingatia.
NATO wanazidisha ugumu kwa kuita kila silaha ya Urusi jina lake (NATO reporting name). Mfano NATO reporting name ya Mig-29 ni Fulcrum.
Tukirudi kwenye next generation fighter ya Japan. Inajulikana itakuwa F-3, watatoa -X waweke -3 sababu inaenda retire Mitsubishi F-2 ambayo ni licence production ya F-16 ya Marekani na zinafanana sana ukiziona bila camouflage na missiles za nchi hizo mbili tofauti.
Sababu kubwa ya kutojua silaha za Japan ni kuwa katiba yao inazuia kuuza silaha nje, wala kutuma jeshi nje ya mipaka yao. Hivyo silaha zao hazisikiki ila ziko vizuri ingawa ni ghali sana kutokana na economies of scale.
Safi hapo nimekusoma vizuri kiongozi we ni mnoma.Mitsubishi wana project ya F-X na ni serious project.
Ndege nyingi prototype zinaitwa something-X then zikikamilika ndio zinaitwa something-suffix ya version inayofuata, hata experimental aircrafts zinakuwa na -X mwishoni hasa NASA wanazo nyingi wanaweza lipia hela zitengenezwe ndege mbili tu watest concept kisha wazibe mdomo na hizi ndio zinakuwa za siri.
Ni Western culture ambayo Russia na China hawafuati.
Russia wao wana mfumo mgumu sana ambao kuna jopo sijui taasisi inatoa namba kwa kila silaha. Mfano Akula class submarine ni Project 971, na hizi namba hazina mtiririko maalum ni namna jopo litakavyoamua. Kisha project ina jina la prototype na jina la type (kama ni prototype ya kitu muhimu kama frontline fighter, kifaru, etc). Su-57 prototype name yake ni PAK-FA. Pia kuna sababu nyingine inachangia kama jina halina bahati labda prototype ilipata crashes nyingi wanaona lina gundu. Kwenye military aviation mambo ya bahati, mkosi, fate, gundu, nyota wanayazingatia.
NATO wanazidisha ugumu kwa kuita kila silaha ya Urusi jina lake (NATO reporting name). Mfano NATO reporting name ya Mig-29 ni Fulcrum.
Tukirudi kwenye next generation fighter ya Japan. Inajulikana itakuwa F-3, watatoa -X waweke -3 sababu inaenda retire Mitsubishi F-2 ambayo ni licence production ya F-16 ya Marekani na zinafanana sana ukiziona bila camouflage na missiles za nchi hizo mbili tofauti.
Sababu kubwa ya kutojua silaha za Japan ni kuwa katiba yao inazuia kuuza silaha nje, wala kutuma jeshi nje ya mipaka yao. Hivyo silaha zao hazisikiki ila ziko vizuri ingawa ni ghali sana kutokana na economies of scale.
Tulia weweeInatisha.
Mimi siyo Tulia, Tulia ni Spika wa bunge la Tanzania.Tulia wewee