Pharmacy
Member
- Jul 13, 2021
- 66
- 81
Kinachopigana siyo pesa pima uelewa wako kwa Congo na Rwanda,Kisha ujiuliz why usa hawez kuvamia Korea ya Kim wakat hata ⅛ haifikii usa kwa budgetDefence Budget ya USA 800 billion usd. Russia + China hata 300 billion hawafiki Budget yao.
Hakuna busara hapo usa anajua Russia Ni nini maana yakemkuu ebu fikiria kama Finland ingefanya hayo karibu na Russia, Busara ni kitu kikubwa sana kwa binadamu.