Ndege vita za China na Urusi zatinga eneo la karibu na pwani ya Alaska (Marekani) kufanya doria

Ndege vita za China na Urusi zatinga eneo la karibu na pwani ya Alaska (Marekani) kufanya doria

Baada ya kuona isreli inawatandika sana.
Mkoan mkimbilie na mada za china na urusi.
Hapo china ni copy and paste za USA.
Urusi ni babu mwenye vifaa vya zamani
We kweli ni shetani kutoka kuzimu kwa hiyo unafikiri urusi yeye Hana vifaa vya kisasa na mbona nato na marekani wasimvamie mrusi huko Ukraine kumuondoa Kama walivofanya huko Libya na Iraq mnangoja nini...sasa urusi anajitwalia maeneo ya Ukraine na wenye vifaa vya kisasa wanaangalia t ,🙄🙄😎😎
 
Kuukabili ukorofi wa Urusi kwenye nchi za Ulaya hasa majirani zake ambazo hazitaki kuwa mshirika wa Ruzzia.
Screenshot_20240726-133653~2.png
na huyo vipi sio mkorofi..?😎😎
 
We
Sidhani kama ni kuogopa, bali ni kuchukua tahadhari.

Ni mpumbavu pekee ndiye anaweza kumpuuza adui yake akimdhania dhaifu asiye na madhara.
We nae asa so ndo kumuogopa huko ingekuaa ni Tunisia imeivamia Ukraine wale NATO wangeshafanya Yale masifa yao Tunisia ingegeuzwa juu chini kwa mabomu
Eti tahadhari
Wanamuogopa waivamie urusi Kama wao vidume kweli Kama walivofanya Iraq..na Libya ,🤮🤮
 
Umeandika kitoto sana, ni wapi USA walisema kuwa wanataka Russia iwapigie magoti? Au maana ya kutoa msaada inakupiga chenga.
Ni lini USA waliingia vitani na Somalia?
Ni lini USA waliingia vitani na wataliban?
Nipe utofauti kati ya vita vilivyopiganiwa kati ya Iraq, Vietnam, Somalia na hao wataliban.
Kwahiyo operation zote anazofanya USA au Russia kwako wewe unazichukulia kama vita kamili.
Kwamaana nyingine unasema kuwa jeshi la Tanzania imeshindwa vita na vikundi vya M23? au Jeshi la Naigeria imeshindwa vita na vile vikundi vya Islamic jihad.
Eti USA wameshindwa kwa Asad AL Bashar utafikiri USA walikuwa wameingia vitani na Syria.
Mie nafikiri wewe ndio umeelewa kitoto,hivi kweli hujui lengo la vikwazo Vyoote alivyowekewq Urusi Nia ilikua ni kumpigisha magoti,?
kama huelewi hilo basi una shida.

Ok USA alifanya operation ya kijeshi huko somalia kukabiliana na waasi akina General Mohamed Farah Aideed na Akina General Morgan lakini operation hiyo iliishia kwa aibu, USA walichapwa na wananchi wa USA waliandamana kutaka jeshi lao liondoke Somalia.
Sasa je hapa USA hakutumia bajeti yake kubwa dhidi ya waasi wa somalia?
Ama kwako wewe linapokuja sula la operation USA hua hatumii bajeti yake kubwa na kurubusu kupigwa?

Aisee hata hujui kama USA walishaingia vitani na watalaban?

Iko hivi hii wala haikua operating,Bali ilikua vita kamili.
Baada ya USA kubaini kuwa Osama bin laden na Al qaida walihusika kulipuka WTC na kua maficho ya Bin laden yalikua Afghanistan na kwa wakati huo Afghanistan ilikua inatawaliwa na watalaban akina Mullah Omar Mohamed, USA akakusanya washirika wake Dunia nzima ambao walikua ni NATO na wasio NATO. wakatangaza jina la vita "War on Terror",waka peleka vifaa vyote vya kijeshi kasoro nyukilia TU,vita ilipiganwa Kwa miaka 20 Nia ni kuangamiza kile kilichoitwa magaidi,lakini ukweli baada ya Miaka 20 USA alikimbia na kuacha silaha ambazo hata Nigeria hana.na Watalabani bado wapo madarakani.
Hapa sijua bajeti kubwa ilimsaidiaje USA.

Suala la Vietnam sitaki hata kupoteza muda wangu kukuelezea kua hiyo ilikua vita kamili na ni vita ambayo USA alitumia Kila aina ya silaha Hadi silaha za sumu kasoro nyukilia TU,nayo kwa aibu USA alishindwa.
Ila kwako wewe kama unaiona haikua vita kamili Bali ni operation basi nakuachia ubaki hivyo ili ujifariji,lkn wamarekani wenyewe wanitambua kama vita kamili na wanakili kua wakishindwa vibaya.
(Nina ushahidi wa maandishi)

Natambua Kuna operation na vita kamili.
USA wanafanya operation na Urusi wanafanya operation.
Kwa hiyo wewe unataka kusema USA akifanya operation zake hua hatumii bajeti yake kubwa ya ulinzi na akienda vita kamili ndio hua anaitumia hiyo bajeti yake kubwa?
Je hua anakua Yuko tayari akapigwe kwa sababu anakwenda kwenye operation kwa hiyo hua hataki kutumia bajeti yake kubwa.?
Maana somalia alishindwa.
Maana Kuna operation nyingi TU kapigwa.


Kwanza Tanzania imeenda TU kusaidia vita ya M23,sio vita yetu.
Lakini vita bado inaendelea.
Ikitokea Tanzania na DRC zikaaondoka vitani na waasi bado wapo basi itahesabika kua TZ na DRC wameshindwa maana lengo la kuwamaliza M23 litakua halijatimia.usiogope kusema ukweli hata kama ni nchi yako,huwezi kusema Tz na DRc zimeondoka vitani na kuwaacha M23 ukasema kua tumeshinda,huo utakua ni uongo na ujinga.

Nigeria bado vita inaendelea hii ni vita ya wenyewe kwa wenyewe USA hakuna vita ya namna hiyo Kwa Sasa,huwezi kufananisha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Nigeria na vita anazikwenda kupigana USA nje ya mipaka yake kwa kutegemea bajeti kubwa wakati anaishia kudundwa TU.
Hata hivyo siku Nigeria wakitangaza kuachana na vita hiyo wakati waasi bado wapo basi itahesabiaka Nigeria wamewashindwa waasi.
Hata hivyo, Nigeria na Tanzania hazijivuni wala sisi raia wa hizo nchi hatujivuni kua tuna bajeti kubwa ya ulinzi,hata tukishindwa ni sawa TU,shida Iko Kwa USA yeye pamoja na bajeti yake kubwa lkn hua anachapwa na wahuni TU.
Ndio nchi ya kwanza duniani kutumia nyukilia vitani.


Nafikiri suala la Bashir Al Assad labda hulijui vizuri pia.
Kwa kukusaidia Viongozi wakubwa wa USA kuanzia rais na mawaziri wa mambo ya nje wa USA waliweka ahadi ya kumtoa Assad madarakani,walianzisha vita Kwa kushirikiana na waasi wa Syria na wale ISIS ilibaki kidogo TU Asad atoke,lakini Putin alipeleka jeshi lake kumuokoa Asad,na huo mpango wa kumtoa Assad ukafa kifo Cha mende.
Viongozi wa USA walikua na msemo wao "Assad must go".
Kwa kukuthibitishia kua Assad bado yupoyupo sana juzi kati hapa nilimuona Yuko Moscow na mwamba Putin wakipiga story.
 
Hiyo bajeti kubwa sana kwake ilimsaidia nini mpaka akakimbia Afghanistan akakimbia Vietnam? Pesa nyingi ya Marekani inaliwa Na Magaidi maana US ndio mfadhili mkuu wa ugaidi duniani kwa maslahi yake mapana
 
Ajaribu kuigusa China au Russia kivita aone, mbona anaongelea mbali na kukimbilia vikwazo fake vya kiuchumi

China and Russia in America’s own backyard
Hivi kwani China hawezi kumwekea vikwazo vya kiuchumi USA?

Kama hawezi basi China hawezi kuwa mkubwa kwa USA
 
We

We nae asa so ndo kumuogopa huko ingekuaa ni Tunisia imeivamia Ukraine wale NATO wangeshafanya Yale masifa yao Tunisia ingegeuzwa juu chini kwa mabomu
Eti tahadhari
Wanamuogopa waivamie urusi Kama wao vidume kweli Kama walivofanya Iraq..na Libya ,🤮🤮
Mbona unalazimisha vita kaka, watu wanajaribu kujizuia vita kubwa zaidi isienee wewe unataka NATO wavamie Urusi, hata Urusi pia ina nguvu kwanini isivamie taifa lililopo NATO?, sijui watanzania tumelogwa nanani
 
China ameipa jibu Marekani ikiwa Marekani wanaenda China's backyard, South & East China Seas na kufanya mazoezi ya kijeshi na washirika wake basi naye anaweza kumfikia mlangoni kwake

China wanakuza vyote uchumi na nguvu za kijeshi
Yani china tokea itudanganye itaishusha ndege ya pelosi alafu ikaufyata sina hata imani naye tena, japokuwa marekani nae kuna muda anapokea za uso kwenye operation zake lakin kwa china hapa alirudisha mkia nyuma.
 
Back
Top Bottom