Kinachopigana siyo pesa pima uelewa wako kwa Congo na Rwanda,Kisha ujiuliz why usa hawez kuvamia Korea ya Kim wakat hata ⅛ haifikii usa kwa budgetDefence Budget ya USA 800 billion usd. Russia + China hata 300 billion hawafiki Budget yao.
Hakuna busara hapo usa anajua Russia Ni nini maana yakemkuu ebu fikiria kama Finland ingefanya hayo karibu na Russia, Busara ni kitu kikubwa sana kwa binadamu.
ukute haya uliyoyaandika Russia wenyewe wanakushangaa.Bajeti kubwa imeshindwa kuisaidia Marekani kuwashinda Watalaban ambao hawana jeshi la anga,jeshi la majini wala jeshi la maana la nchi kavu.
Bajeti kubwa ya Marekani ilishindwa kuwashinda wavietnam,
Bajeti kubwa ilishindwa kumtoa madarakani Bashir Al Assad wa Syria.
Bajeti kubwa ya Marekani pamoja na bajeti za washirika wake wa NATO kwa kushirikiana na Ukraine wameshindwa kuishinda Urusi, pamoja na kuiwekea vikwazo Urusi ambavyo hakuna nchi duniania imewahi kuwekewa.
Una akili saanaBajeti kubwa imeshindwa kuisaidia Marekani kuwashinda Watalaban ambao hawana jeshi la anga,jeshi la majini wala jeshi la maana la nchi kavu.
Bajeti kubwa ya Marekani ilishindwa kuwashinda wavietnam,
Bajeti kubwa ilishindwa kumtoa madarakani Bashir Al Assad wa Syria.
Bajeti kubwa ya Marekani pamoja na bajeti za washirika wake wa NATO kwa kushirikiana na Ukraine wameshindwa kuishinda Urusi, pamoja na kuiwekea vikwazo Urusi ambavyo hakuna nchi duniania imewahi kuwekewa.
China na vita wapi na wapi mkuu, hao macho madogo wakuze uchumi tu.
mkuu ebu fikiria kama Finland ingefanya hayo karibu na Russia, Busara ni kitu kikubwa sana kwa binadamu.
Ni mwendo wa kutunishiana misuli.
Marekani ilipocharazwa na Vietnam na hata Afghanistan uwiano WA bajeti ulikuwaje?!Defence Budget ya USA 800 billion usd. Russia + China hata 300 billion hawafiki Budget yao.
China ambayo hata silaha zake ni sub standard na zinalalamikiwa na nchi kadhaa zinazozinunua bado hajaweza ifikia US kijeshi hata kuikaribia tu bado.Defence Budget ya USA 800 billion usd. Russia + China hata 300 billion hawafiki Budget yao.
China ipambane tu kuendelea kutengeneza mafekero wachina wapate kuishi vita isijaribu.China na vita wapi na wapi mkuu, hao macho madogo wakuze uchumi tu.
China ambayo hata silaha zake ni sub standard na zinalalamikiwa na nchi kadhaa zinazozinunua bado hajaweza ifikia US kijeshi hata kuikaribia tu bado.
Kwa hiyo Marekani na Ulaya wananunua bidhaa fake za China?China ipambane tu kuendelea kutengeneza mafekero wachina wapate kuishi vita isijaribu.
Mpaka unawekewa vikwazo bado ni kipigo hichoAjaribu kuigusa China au Russia kivita aone, mbona anaongelea mbali na kukimbilia vikwazo fake vya kiuchumi
China and Russia in America’s own backyard
Mbona nimeandika vitu rahisi sana?ukute haya uliyoyaandika Russia wenyewe wanakushangaa.
Mpaka unawekewa vikwazo bado ni kipigo hicho
Unachotakiwa kwako ni kukataa kipigo hicho kwa kurudisha kipigo kwake kama wewe ni kidume Kweli
Wao wanasema wingi wa msosi siyo hoja ya unono na afya njema.Defence Budget ya USA 800 billion usd. Russia + China hata 300 billion hawafiki Budget yao.
Sidhani kama ni kuogopa, bali ni kuchukua tahadhari.Sasa kwanini USA wanamuogopa mrusi mwenye bajeti ndogo?
Hivi kwanini NATO iliundwa?
Mbona nimeandika vitu rahisi sana?
Ndio ni kweli USA Ina bajeti kubwa ya kijeshi kuliko nchi yoyote duniani.
Lkn je ?
Mbona haijawasaidia kuwashinda Watalaban Kwa miaka 20?
Je Watalabani wapo au hawapo?
Mbona haikuwashinda wavietnam?
Mbona haikumtoa Assad madarakani?
Mbona haikuwashinda wasomali akina Gen Morgan na Gen Aidiid?
Mbona kwa kushirikiana na NATO na Ukraine wameshindwa kuipigisha magoti Urusi?
Sijakataa kua ana bajeti kubwa.
Bajeti kubwa imeshindwa kuisaidia Marekani kuwashinda Watalaban ambao hawana jeshi la anga,jeshi la majini wala jeshi la maana la nchi kavu.
Bajeti kubwa ya Marekani ilishindwa kuwashinda wavietnam,
Bajeti kubwa ilishindwa kumtoa madarakani Bashir Al Assad wa Syria.
Bajeti kubwa ya Marekani pamoja na bajeti za washirika wake wa NATO kwa kushirikiana na Ukraine wameshindwa kuishinda Urusi, pamoja na kuiwekea vikwazo Urusi ambavyo hakuna nchi duniania imewahi kuwekewa.
Wakati muingereza anafurushwa na wapiganaji wa MAUMAU pale Kenya unaweza tuambia uingereza ilikuwa na deffence budget ya sh.ngapi ukilinganisha na maumau?Defence Budget ya USA 800 billion usd. Russia + China hata 300 billion hawafiki Budget yao.
Umeandika kitoto sana, ni wapi USA walisema kuwa wanataka Russia iwapigie magoti? Au maana ya kutoa msaada inakupiga chenga.Mbona nimeandika vitu rahisi sana?
Ndio ni kweli USA Ina bajeti kubwa ya kijeshi kuliko nchi yoyote duniani.
Lkn je ?
Mbona haijawasaidia kuwashinda Watalaban Kwa miaka 20?
Je Watalabani wapo au hawapo?
Mbona haikuwashinda wavietnam?
Mbona haikumtoa Assad madarakani?
Mbona haikuwashinda wasomali akina Gen Morgan na Gen Aidiid?
Mbona kwa kushirikiana na NATO na Ukraine wameshindwa kuipigisha magoti Urusi?
Sijakataa kua ana bajeti kubwa.
Mwenye bajeti kubwa akawarushie jiwe tuone huo ukubwa wa bajeti utawafikisha wapoDefence Budget ya USA 800 billion usd. Russia + China hata 300 billion hawafiki Budget yao.