gTurn
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 2,651
- 4,151
Ayatollah sio mtalii ushasikia kaenda nchi gani? Wakati raisi yupo?Wewe sijui unataka kusema nini hapo unaruka-ruka tu mara Mzee wa miaka 86 mara mkono mnogi,mara Netanyahu a Najua,Mara wanamwombea kufa kila siku,Mara Yemen anapigwa Tel-Aviv, Mara KM 2000 please be specific hata nikitaka kukujibu nikujibu kwa lipi sasa??