Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Kwa taarifa yako tu wakristo na Wayahudi hata siku moja ha uwięzi kuwatenganisha maana Bila Wayahudi Ukristo usingekuwepo na Yesu alikuwa Muyahudi akina Daud,Saul na mitume wengine walikuwa wayahudi sasa ninyi na Shobo zenu mnawatenganisha vipi?. Pia nikutaarifu tu ukimuona Mkristo anapingana na Israel au wayahudi jua huyo alisha-asi siku nyingi amebakia jina tu. Wakristo na Wayahudi ni sawa na Maji na Samaki!!!. Kama kubwabwaja tu endeleeni kubwabwaja lakini huwezi kuwatenganisha watu hao!!
Mchungaji mjinga mtetezi wa israel tz …. Kila kwenye tajo la mayahudi ukosekani🤣🤣 kisa mchungaji
 
Historia ya miaka ileeee sio sasa hii 2024 +2025 si umeona Iran akijichapia Israel kama kitoto chake Yemen nayo iimeitwanga miji ya Israel ukiwemo mji wa Telaviv !!!!

Kwasasa IDF inajitafuta kama kajesh ka Congo!!!!! Siku azigandi Ata ww ulikuwa mzee Kigogo lkn sasaivi umekuwa kizee kijiti cha chelewa !!!!!
Kipigo cha juzi alichogawa kwa Iran na vibaraka wake Hamas, Hezbollah, Houth na Assad mpaka akakimbia hukuona?! Ama ulikua hujazaliwa?
 
Historia ya miaka ileeee sio sasa hii 2024 +2025 si umeona Iran akijichapia Israel kama kitoto chake Yemen nayo iimeitwanga miji ya Israel ukiwemo mji wa Telaviv !!!!

Kwasasa IDF inajitafuta kama kajesh ka Congo!!!!! Siku azigandi Ata ww ulikuwa mzee Kigogo lkn sasaivi umekuwa kizee kijiti cha chelewa !!!!!
Endelea kuona Ndoto za mchana
 
A

Apeleke ndege zake Iran ujue taifa teule!!!
Oct 2024 alishapeleka na akafanya vitu vyake hata kusababisha The Promise-3 kubuma amabakia maneno tu kachapika sawa sawa!!
 
Mkusanyiko ule pale Lebanon watu walivo Jazanaa kias kile! pale Netanyahu kikamuuma akaona akawatishe na ndege Vita!!!

Lkn Wa Lebanon Wanetulia akuna kuondoka akuna kukimbia!!!!! Sasa ingekuwa kwao uko Israel

kuna mkusanyiko wakufanana kidogo na ule Afu juuu Ndio waone tu vi Drones vi 3 vinapita juuu!! Ilo Vumbi lake kila mtu na njia yake atakama Walikuja wote!!! Watatafutana Baadaee mungu Akipenda

Waisrael Waoga Sijawai ona!!!!!! Lkn Lebanon vindege vyao kibao juu lkn watu Awana Times Wanaendelea na Jambo lao!!!!
Endelea kujifariji fariji tu lakini IDF ndiyo waliomfyeka gaidi huyo
 
Mkusanyiko ule pale Lebanon watu walivo Jazanaa kias kile! pale Netanyahu kikamuuma akaona akawatishe na ndege Vita!!!

Lkn Wa Lebanon Wanetulia akuna kuondoka akuna kukimbia!!!!! Sasa ingekuwa kwao uko Israel

kuna mkusanyiko wakufanana kidogo na ule Afu juuu Ndio waone tu vi Drones vi 3 vinapita juuu!! Ilo Vumbi lake kila mtu na njia yake atakama Walikuja wote!!! Watatafutana Baadaee mungu Akipenda

Waisrael Waoga Sijawai ona!!!!!! Lkn Lebanon vindege vyao kibao juu lkn watu Awana Times Wanaendelea na Jambo lao!!!!
Endelea kujifariji fariji tu lakini IDF ndiyo waliomfyeka gaidi huyo
 
Oct 2024 alishapeleka na akafanya vitu vyake hata kusababisha The Promise-3 kubuma amabakia maneno tu kachapika sawa sawa!!
Tunaomba Ushaidi icho kipigo cha October 2024 apo ndio mnakimbia!!!!!
 
Tunaomba Ushaidi icho kipigo cha October 2024 apo ndio mnakimbia!!!!!
Oct 26,2024 israel iliweza kushambulia sehemu mbalimbali za Iran na iliweza kuangamiza mifumo ya ulinzi wa anga wa Iran. Sasa kama wewe ulikuwa hujui hilo basi nenda Google utazipata hizo habari kama huzioni nijulishe nikusaidie
 
Tunaomba Ushaidi icho kipigo cha October 2024 apo
Uliomba ushahidi huo hapo ulivyo mjinga na mpumbavu utaanza Kubwabwaja ovyoovyo
 

Attachments

  • How_Israeli_Oct_26th_strike_on_Iran_happened(360p).mp4
    27.5 MB
Hawa inaonekana kabisa kuwa hawana Air Defense System yoyote ile kwahiyo ni sawa sawa na kusema Anga lao liko uchi kabisaaa mpaka mwisho
 
Back
Top Bottom