Ayatollah sio mtalii ushasikia kaenda nchi gani? Wakati raisi yupo?Wewe sijui unataka kusema nini hapo unaruka-ruka tu mara Mzee wa miaka 86 mara mkono mnogi,mara Netanyahu a Najua,Mara wanamwombea kufa kila siku,Mara Yemen anapigwa Tel-Aviv, Mara KM 2000 please be specific hata nikitaka kukujibu nikujibu kwa lipi sasa??
kwamba atasema nini huyu? atathibitisha kwanini allah hawasaidii waisrael wenye Mungu wa kweli au nini?View attachment 3246968
Sikiliza maneno ya mwanazuoni hapo.
Mbona alishazikwaga labda apo walikuwa wanafanya Tafrija wanamkumbuka tuNdege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
View attachment 3246808
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
View attachment 3246808
Ila huo umati wa watu ni wengi sana magaidi hawazikwi hivyo ila viongozi wakitaifa wanazikwa hivyo ,na siku zote sauti ya watu wengi ni sauti ya mungu.Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
View attachment 3246808
kwamba atasema nini huyu? atathibitisha kwanini allah hawasaidii waisrael wenye Mungu wa kweli au nini?
Hata Gaidi akiwa na wafuasi wengi haohao watamzika na si kweli kuwa sauti ya magaidi wengi ni sauti ya Mungu labda awe huyo mungu wenu.Ila huo umati wa watu ni wengi sana magaidi hawazikwi hivyo ila viongozi wakitaifa wanazikwa hivyo ,na siku zote sauti ya watu wengi ni sauti ya mungu.
Bikra za kanisani auKwani nani alikuwa hujui? Naomba kujua kama Gaidi Hassan Nasrallah naye atakabidhiwa wale Mabikira 72 awabikiri?
Huyo gaidi alizikwa mzima mzima na Yale mabomu ya rangi ya chokolate.Shahidi Nasralah alipigwa mabomu tani 80 yaliyosambaratisha jengo zima lakini hakutoka hata kovu zaidi ya kufariki kwa presha ya kishindo kile akiwa katka Banka lake na mpaka leo anaenda kuzikwa taarifa zinasema mwili wake ukiona kama amelala tu na unakia vizuri tu
Israel ndio mwamba pale mashariki ya kati. Historia inajielezaIna maana hapo mashariki ya kati ndege za kivita za Israel zinaruka tu kama zinavyopenda na ndio maana hata marubani wa kike wanafunga safari na kwenda kumchakaza mtu na baadae zinarejea Israel salama salmin.
Anachumbiwa na myahudi mtoto kautakaKwani wewe mbona unafuatilia mambo haykuhusu 🤣🤣wewe ni mkristo hao mayahudi sio wakristo jitambue shobo mbaya sana.
Kwahiyo ww unataka afuatilie Uislamu kwani yey ni Muislam Uyahudi like ni chimbuko ndio mana unabatizwa MWANAKONDOO AMESHINDA TUMFUATE YESU M BARIKI NETANYAHU NA IKIWEZEKANA NETANYAHU ATIMBE MACKA AKAICHAKAZEKwani wewe mbona unafuatilia mambo haykuhusu 🤣🤣wewe ni mkristo hao mayahudi sio wakristo jitambue shobo mbaya sana.
Yesu hatoi baraka anaombea baraka mtu, hivyo hayo maombi kwa huyo shetani yako katka wrong channel hivyo ulichofanya umepoteza muda na maneno mazuri mazuri lakini yataishia hewanKwahiyo ww unataka afuatilie Uislamu kwani yey ni Muislam Uyahudi like ni chimbuko ndio mana unabatizwa MWANAKONDOO AMESHINDA TUMFUATE YESU M BARIKI NETANYAHU NA IKIWEZEKANA NETANYAHU ATIMBE MACKA AKAICHAKAZE
Apeleke ndege zake Iran ujue taifa teule!!!Hawawezi hata kulinda anga yao.
Kwani wewe unavyowashabikia Russia ni waislam? Kumkubali mtu au taifa hakuhusiani ma imani za kidini hebu acheni huo upuuzi wa kunasibisha mapenzi binafsi ya mtu na imani zenu. Mimi ni Mkristo kindakindaki ila huniambii kitu kwa IranKwani wewe mbona unafuatilia mambo haykuhusu [emoji1787][emoji1787]wewe ni mkristo hao mayahudi sio wakristo jitambue shobo mbaya sana.
Historia ya miaka ileeee sio sasa hii 2024 +2025 si umeona Iran akijichapia Israel kama kitoto chake Yemen nayo iimeitwanga miji ya Israel ukiwemo mji wa Telaviv !!!!Israel ndio mwamba pale mashariki ya kati. Historia inajieleza
Siku Israel inabutuliwa na IRAN mungu wa Israel sijui ndio Jehova unajua Alikimbilia TZ pale mwage pande!!! Kujificha Adi aliposikia Ayatollah kacheka na kutabasam ndiokwamba atasema nini huyu? atathibitisha kwanini allah hawasaidii waisrael wenye Mungu wa kweli au nini?
Gaid au sioNdege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
View attachment 3246808