Kwa Tarifa zenu Rostam He is a Men ,strong man and no one can touch him when I say no one I mean not even single person in TANZANIA not to day and not tomorrow .hii itakuwa ni kumbukumbu nitakuja kukumbusheni wasomaji wezangu ni vizuri kuwa mnatowa maoni yenu lakini jamaa ni Realy Master
Hapana ...wala sio hasira, Hawa waungwana imefika wakati sasa wanapoteza muelekeo kabisa..Na kama kweli tunawatakia Mema ni bora kueleza wazi kuwa wanakosea kuliko kuwapamba kwa uongo!!!Sina Bifu na Muungwana ni mtu ninayemuheshimu sana tu....Lakini uwezo wake wa Uongozi umekuwa unapungua kwa kasi mno...mwanzo nilifikiri kuwa labda ni uoga na ushikaji ndio unamfanya awe na unyonge....lakini sasa nafikiri kuna tatizo kubwa zaidi ya hayo....Mwenzangu kama huoni basi mapenzi yako yatakuwa yamekutia upofu.....
nakumbuka kwamba boyz to men walivyowasilisha fomu za uraisi 1985, walikwenda kwa ndege, na ndege hiyo ilitolewa na Rostam azizi kama sikosei, kwa kampuni iliyo Kenya, hivyo inabidi tuanzie huko ili kupata Mzizi wa Madudu yanayo tokea Leo
nakumbuka kwamba boyz to men walivyowasilisha fomu za uraisi 1985, walikwenda kwa ndege, na ndege hiyo ilitolewa na Rostam azizi kama sikosei, kwa kampuni iliyo Kenya, hivyo inabidi tuanzie huko ili kupata Mzizi wa Madudu yanayo tokea Leo
Hivi hakuna muungwana anayefanya kazi JKNIA (DIA) au Dodoma Airport akatutafutia data za ile ndege ili tuanze kudodosa mpaka mahusiano kamili ya JK na Rostam yawekwe wazi?
Huko bungeni na ndani ya CCM wameshashindwa kumuweka Kikwete kiti moto, lakini tukiweka data mtandaoni, wanamagazeti wanaweza kutusaidia angalau kumfanya JK asiendelee beyond 2010.
Just curious...zile suti walizovaa nazenyewe nilinunuliwa na Mh RA?
Kumbuka JK wakati huo alikuwa ni waziri wa mambo ya nje, kwa hiyo hizo suti sio tatizo inawezekana kaanza kuvaa suti kabla wewe hujaijuwa suti ni nini!
So what?
Kumbuka JK wakati huo alikuwa ni waziri wa mambo ya nje, kwa hiyo hizo suti sio tatizo inawezekana kaanza kuvaa suti kabla wewe hujaijuwa suti ni nini!
Mkuu,
Mbona hii imekaa kana kwamba 'unabifu' na mmoja wapo? Nimekuwa nikisoma michango yako mingi lakini huu nikiusoma ninaona uko nje kabisa na standards zako nilizozizoea? nimekuwa nikikuona mara nyingi ukisistiza constructive criticism...kulikoni... au hasira?
Loh!!! Vichekesho aliemkubali yeye Mwalimu alichofanya ni kipi? zaidi ya UFISADI Mnanishangaza watanzania wenzangu hata kama macho Hamna Basi masikio pia Hamna???? Hayati Baba wa taifa ni Binadamu Kama Binadamu Mwingine Kweli Kwa Busara zake nilikuwa Namkubali Lakini yeye Hakuwa Malaika jamani!!!!!! Kama alimkataa JMK Kisa ni Umri au Uzoefu katika Mbona JFK alitawala US akiwa na Umri Wa Miaka 41??? Tena Jitaifa Kubwa Mara 20 ya Tanzania???? Na Kama alimkataa EL Mbona aliishia kumwambia Ben atabinafshisha mpaka magereza???? Nini kilichofuata baada ya kifo chake? acheni Majungu Nchi mtaipeleka Pabaya kwa Chuki zisio Na faida...Hakuna jipya Hapo Ni majungu na chuki...Leo Matatzo yote ametutakia huyo huyo mwalimu Jitu Limeuza kila kitu Limejibinafishia Kila Kitu Na shemeji zake na Mkewe
Hapana ...wala sio hasira, Hawa waungwana imefika wakati sasa wanapoteza muelekeo kabisa..Na kama kweli tunawatakia Mema ni bora kueleza wazi kuwa wanakosea kuliko kuwapamba kwa uongo!!!Sina Bifu na Muungwana ni mtu ninayemuheshimu sana tu....Lakini uwezo wake wa Uongozi umekuwa unapungua kwa kasi mno...mwanzo nilifikiri kuwa labda ni uoga na ushikaji ndio unamfanya awe na unyonge....lakini sasa nafikiri kuna tatizo kubwa zaidi ya hayo....Mwenzangu kama huoni basi mapenzi yako yatakuwa yamekutia upofu.....
Hovyoo, ndio iwe nini? Kama kapanda ndege ya Rostam it simply proves kuwa Rostam ni kizito kabla JK hajaingia madarakani. Huo utajiri aliupata lini? I think kama sikosei ni wakati wa nyerere. Duhhh!
Acha uongo wewe,RA enzi za mwalimu alikuwa kapuku fulani kule kijijini Igunga