- Thread starter
- #21
Kwa Tarifa zenu Rostam He is a Men ,strong man and no one can touch him when I say no one I mean not even single person in TANZANIA not to day and not tomorrow .hii itakuwa ni kumbukumbu nitakuja kukumbusheni wasomaji wezangu ni vizuri kuwa mnatowa maoni yenu lakini jamaa ni Realy Master
Ni kweli he is a real man, ndio maana Pius alililia kuwa Mwenyekiti wa Vodacom, alikuwa kama mbwa koko anamfuata Chatu. Lakini besides yeye kuwa the real man, nasi ni binadamu wenye uwezo wa kutambua baya na zuri, na shurti tupiganie haki za mababu, na vitukuu vyetu