May Day JF-Expert Member Joined May 18, 2018 Posts 6,311 Reaction score 9,027 May 28, 2022 #21 Sijaona ushauri wa awafanye nini hao Ndege. Hata akivuna akaweka atakapoweka si bado hao Ndege wapo around, watalalamika tu msosi wao kuhamishwa.
Sijaona ushauri wa awafanye nini hao Ndege. Hata akivuna akaweka atakapoweka si bado hao Ndege wapo around, watalalamika tu msosi wao kuhamishwa.
Niache Nteseke JF-Expert Member Joined Apr 29, 2020 Posts 2,162 Reaction score 2,616 May 29, 2022 #22 Mbekenga said: Nalima ndiyo Click to expand... Hongera sana kiongozi, nahitaji kuingia kwenye hiki kilimo nahitaji dondoo kadhaa toka kwako kama hutojali...!
Mbekenga said: Nalima ndiyo Click to expand... Hongera sana kiongozi, nahitaji kuingia kwenye hiki kilimo nahitaji dondoo kadhaa toka kwako kama hutojali...!
Scale JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 2,116 Reaction score 2,616 May 29, 2022 #23 Maisha ni Safari Nimelima sana hiyo kitu enzi hizo
Niache Nteseke JF-Expert Member Joined Apr 29, 2020 Posts 2,162 Reaction score 2,616 May 29, 2022 #24 Scale said: Maisha ni Safari Nimelima sana hiyo kitu enzi hizo Click to expand... Kwa nini ukaacha mkuu...?
Scale said: Maisha ni Safari Nimelima sana hiyo kitu enzi hizo Click to expand... Kwa nini ukaacha mkuu...?
Mzee23 JF-Expert Member Joined Oct 9, 2014 Posts 1,731 Reaction score 3,628 May 29, 2022 #25 Vuna upesi bei ipungue huku mjini wee vipi ndugu mkulimaš
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Nov 24, 2024 #26 Mbekenga said: Kweli nilitoa mwongozo lakini itaongeza gharama. Bora kukata vichwa ila hakikisha unavitandaza. Ukivirundika mbegu zitaoza na kutoa mafuta yanayokereketa. Click to expand...
Mbekenga said: Kweli nilitoa mwongozo lakini itaongeza gharama. Bora kukata vichwa ila hakikisha unavitandaza. Ukivirundika mbegu zitaoza na kutoa mafuta yanayokereketa. Click to expand...