jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.
Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.
Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika. Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti. Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa. Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.
View attachment 2197854
View attachment 2197855
Wewe utakuwa hujawahi kabisa kupanda ndege. Ukiwa kwenye siti za dirishani karibu na mlango wa emergency unaona matairi yote.Stori kama stori uwe ndani uone tairi hili ajabu jingine la dunia hongera kupanda nawe kunguru
Wakirudi watakuja na spare.Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.
Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.
Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika. Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti. Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa. Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.
View attachment 2197854
View attachment 2197855
Ajabu gani? Kutegemea na ulipokaa, mbona tairi unaziona kabisa kabla hazijakunjwa baada ya ndege kupaa; au matairi yakikunjuliwa wakatii ndege inakaribia kutua. Zaidi ya hayo, mtoa mada amekupa na picha ya hizo tairi. Sasa ubishi wa nini?Stori kama stori uwe ndani uone tairi hili ajabu jingine la dunia hongera kupanda nawe kunguru
Mkuu hii sio issue ya agent.Pole Sana mkuu inaonekana maagent wa ATCL hawapo makini
Mkuu, wakati mwingine jitahidi kuficha upumbavu wakoTairi tu unajambajamba. We waza huko kwenye engine huko mafrekeshen , manyaya walivounga unga.
Tulishapita hizo stage za kishamba Sasa hivi tunaongea American English through the nose.Badala ya kutatua Tatizo utashangaa Mtoa mada(taarifa) anatafutwa atekwe na awekwe ndani bila dhamana.
Nchi yetu ina shida
Haya ni maneno ya mkosaji mzee....Stori kama stori uwe ndani uone tairi hili ajabu jingine la dunia hongera kupanda nawe kunguru
Unapopanda ndege jua kuwa TCAA wameshajiridhisha na usalama wa ndege husika. Kuwa na amani kabisa.kwani tairi za ndege zinauzwa pesa ngapi halafu kweli hili akina Zitto & Pascal Mayalla wameshindwaje kulisemea wakati wao wanapanda pipa kila week
Tulishapita hizo stage za kishamba Sasa hivi tunaongea American English through the nose.
(It want tourism it show royal tour, the tourist come mwamwamwa, the us dollar twatwatwa full)