Ndege ya Emirates imepata dharura, kutua Dar

Ndege ya Emirates imepata dharura, kutua Dar

Routes za ndege zinajaribu kukwepa bahari kadiri iwezekanavyo , zinatakiwa zipite kwenye routes zilizo karibu na viwanja vya ndege , ikitokea dharura yoyote inakuwa rahisi kuishusha , hata ikibidi route iwe ndefu zaidi na pia iwe inapokewa kimawasiliano na control towers za njiani..
Route za Ndege zina prefer.. near the Ocean.. nahisi kwa xxbabu ya Usalama + kukwepa charging fees za nchi...
 
Hao jamaa wanagombea nini?halafu si tuko nao kwenye jumuiya ya Africa mashariki?
Walifanya makosa kuruhusu Nchi moja kuwa na Majeshi mawili yanayoendeshwa na Makamanda wawili tofauti.

Sudani ya kaskazini haiko kwenye Jumuia ya Afrika ya Mash ni Sudani ya Kusini iliyojitenga ndio iko kwenye Jumuia yetu.
 
Ndege ya Fly Emirates namba EK 262 iliyokuwa ikitokea Sao Paulo kuelekea Dubai, imebadili njia na sasa yaelekea kutua JNIA baada ya kupata dharura.

Inakuja tua JNIA sababu imekwepa Anga la Sudan ambapo kuna hali ya sinto fahamu

Mahotel na Coaster zijiandae kunufaika maana abiria ni zaidi ya 200View attachment 2588987
Unafikiri kutua kwa dharura kwa ndege ni sawa na breakdown ya basi la sauli au kimbinyiko watu wafaulishwe kwenye Costa na hotels zenu hizo za mama ntilie
 
Ndege husafiri sana kupitia baharini kukwepa omba vibali kila nchi inayopita na kulipia mara kwa mara.

Na saa zingine huangalia njia fupi ili wasii gie gharama ya mafuta
Itoshe tu kusema huna ufahamu wala elimu hii ya safari routes za ndege na utaratibu ama ulazima wake ipite wapi na kwanini.
Kuna uzi humu fukua
 
Screenshot_20230415_224046_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom