Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Wamekukazia au siyo 😂
hawa jamaa sio kabisa, wakati naiona kabisa mitaa yangu ya Buza, naona wamemuita Captain niongee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekukazia au siyo 😂
Wacha kututia changa hao abiria watalala Dar sasa utashindwa vp ku-terminate? Au unafikiria hawashuki?haya mambo bwana, nimetoka Sao Paulo, nitue DXB then nipate connection yakuja Bongo, dubwana limekuja bongo naomba kushuka nimefika hawataki eti mpala niende DXB then again vingunguti..
Wee shem muongo sana, lini uliwahi panda ndege. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HahaHii ndege ndyo maana sipend kuipanda ina dharura za kutua tua sana yani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani unafurahia matatizo ya watu jamani, wenzio safari yao imeingia mushkeli, au ndo vile kufa kufaana? [emoji28][emoji28][emoji28]
Tuweke heshima kimataifa,maana kwenye mpira tumefeli,na uko Napo tufeli?hahaNimecheka sana, wabongo[emoji119][emoji119]
Ndege sio basi ndg yangu.Wacha kututia changa hao abiria watalala Dar sasa utashindwa vp ku-terminate? Au unafikiria hawashuki?
Wanaitaji kupewa farajaYaani unafurahia matatizo ya watu jamani, wenzio safari yao imeingia mushkeli, au ndo vile kufa kufaana? 😅😅😅
wangeopt usawa wa Mediterranean sea au ndio mbali zaid ??Kwa anaejua...
Ulikuwa lazima wapite anga la Sudan? There was no way Waka navigate to the other country?
Mrembo kwemaYaani unafurahia matatizo ya watu jamani, wenzio safari yao imeingia mushkeli, au ndo vile kufa kufaana? [emoji28][emoji28][emoji28]
This is from BBCInafuel kivipi wakati wamesema inatua kwaa ajili ya ufundi
Kwa mfano kwenye hio ndege kama kungekua na abiria wa bongo asingeweza kushuka hadi warudi Dubei?,Ndege sio basi ndg yangu.
Lazima upitie mipaka sawa na tiketi yako...huwezi kujiamlia ujishukie tu
Huwezi kushuka mkuu.Kwa mfano kwenye hio ndege kama kungekua na abiria wa bongo asingeweza kushuka hadi warudi Dubei?,
Hili dude lina raha yake. Hasa long-haulHiyo nilipanda wakati wa kushuka utafikiri kijiji yaani watu zaidi ya 600 tulikuwa humo Nami nikiwa gorofani
Nilishawahi panda hili dege, ni very comfortable.Ndege kubwa ya abiria aina ya #Airbus #A380 ya shirika la ndege Emirates yatua katika uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) kwa sababu za kiufundi.
Hii ni mara ya pili kwa ndege hii kubwa ya abiria ulimwenguni kutua. uwanja wa ndege wa #JNIA.
Aidha ndege hiyo yenye safari namba EK262 kutoka Sao Paulo kwenda #Dubai inadhaniwa kuepuka anga la Sudan kutokana na machafuko ya kisiasa.
View attachment 2589082
Hy Sao paulo c ni Brazil.? Inakuaje njia rahisi ya kwenda dubai iwe Afrika ya Kati/Mashariki.?
Binafsi naona kama kupita Afrika Kaskazini ndio njia rahisi na pekee.
Hapana tuko na Sudan ya Juba (Sudan kusini) japo ilikuwa nchi moja kabla ya kutengana mwaka 2012 kama sijakosea mwakaHao jamaa wanagombea nini?halafu si tuko nao kwenye jumuiya ya Africa mashariki?
Ndio ndege ya abiria iliyo salama mpk sasa kuwahi kutokea,pia haijawahi kupata ajali ya kupoteza maisha ya watu tokea zilipoingia sokoni mwaka 2005...Nilishawahi panda hili dege, ni very comfortable.
Hapana bro, angalia route ya kutoka Dubai au Doha kwenda Australia , njia fupi ilikuwa kukatiza katikati ya Indian Ocean lakini sio hivyo bali inaambaa ambaa nchi kavu karibu na viwanja vya ndege mpaka ifike destination kutokana na mawasiliano na dharura inayoweza kujitokeza ..Route za Ndege zina prefer.. near the Ocean.. nahisi kwa xxbabu ya Usalama + kukwepa charging fees za nchi...