National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kuna matoto ya ki brazil.. ni kuwahi chap fursa hiyoHy Sao paulo c ni Brazil.? Inakuaje njia rahisi ya kwenda dubai iwe Afrika ya Kati/Mashariki.?
Binafsi naona kama kupita Afrika Kaskazini ndio njia rahisi na pekee.
Route za Ndege zina prefer.. near the Ocean.. nahisi kwa xxbabu ya Usalama + kukwepa charging fees za nchi...Routes za ndege zinajaribu kukwepa bahari kadiri iwezekanavyo , zinatakiwa zipite kwenye routes zilizo karibu na viwanja vya ndege , ikitokea dharura yoyote inakuwa rahisi kuishusha , hata ikibidi route iwe ndefu zaidi na pia iwe inapokewa kimawasiliano na control towers za njiani..
Walifanya makosa kuruhusu Nchi moja kuwa na Majeshi mawili yanayoendeshwa na Makamanda wawili tofauti.Hao jamaa wanagombea nini?halafu si tuko nao kwenye jumuiya ya Africa mashariki?
Unafikiri kutua kwa dharura kwa ndege ni sawa na breakdown ya basi la sauli au kimbinyiko watu wafaulishwe kwenye Costa na hotels zenu hizo za mama ntilieNdege ya Fly Emirates namba EK 262 iliyokuwa ikitokea Sao Paulo kuelekea Dubai, imebadili njia na sasa yaelekea kutua JNIA baada ya kupata dharura.
Inakuja tua JNIA sababu imekwepa Anga la Sudan ambapo kuna hali ya sinto fahamu
Mahotel na Coaster zijiandae kunufaika maana abiria ni zaidi ya 200View attachment 2588987
Buda inategemea inaeza ikawa na abiria idadi sawa na Q400200 wachache sana
Unafikiri angani ni kufuata mstari tu kama barabara moja kutoka dar hadi MoroHy Sao paulo c ni Brazil.? Inakuaje njia rahisi ya kwenda dubai iwe Afrika ya Kati/Mashariki.?
Binafsi naona kama kupita Afrika Kaskazini ndio njia rahisi na pekee.
Itoshe tu kusema huna ufahamu wala elimu hii ya safari routes za ndege na utaratibu ama ulazima wake ipite wapi na kwanini.Ndege husafiri sana kupitia baharini kukwepa omba vibali kila nchi inayopita na kulipia mara kwa mara.
Na saa zingine huangalia njia fupi ili wasii gie gharama ya mafuta
Hy Sao paulo c ni Brazil.? Inakuaje njia rahisi ya kwenda dubai iwe Afrika ya Kati/Mashariki.?
Binafsi naona kama kupita Afrika Kaskazini ndio njia rahisi na pekee.
Abiria hawatashuka ina-fuel then inasepa zake to Dubai usiku huu huu.
Itoshe tu kusema huna ufahamu wala elimu hii ya safari routes za ndege na utaratibu ama ulazima wake ipite wapi na kwanini.
Kuna uzi humu fukua
Nimecheka sana, wabongo[emoji119][emoji119]Muda wa kuvizia pisi Kali airport
Njia sahihi ni kati ya Nigeria, Chad Sudani hadi EthiopiaHy Sao paulo c ni Brazil.? Inakuaje njia rahisi ya kwenda dubai iwe Afrika ya Kati/Mashariki.?
Binafsi naona kama kupita Afrika Kaskazini ndio njia rahisi na pekee.
Unaweza hisi likashindwa kunyanyuka wakati wa kusepa.Hiyo nilipanda wakati wa kushuka utafikiri kijiji yaani watu zaidi ya 600 tulikuwa humo Nami nikiwa gorofani
Toa elimu sasa mbona unapinga tuuUnafikiri angani ni kufuata mstari tu kama barabara moja kutoka dar hadi Moro
Wamekukazia au siyo 😂haya mambo bwana, nimetoka Sao Paulo, nitue DXB then nipate connection yakuja Bongo, dubwana limekuja bongo naomba kushuka nimefika hawataki eti mpala niende DXB then again vingunguti..
Jifunze ramani Sao Paulo ipo wapi na Dubai/Doha ipo wapi!Hy Sao paulo c ni Brazil.? Inakuaje njia rahisi ya kwenda dubai iwe Afrika ya Kati/Mashariki.?
Binafsi naona kama kupita Afrika Kaskazini ndio njia rahisi na pekee.