Ndege ya gharama sana ya Urusi yapigwa chini Bakhmut

Ndege ya gharama sana ya Urusi yapigwa chini Bakhmut

Su 35 ni very expensive na su 24 ni old model toleo lake jipya ni su 25

Soma vizuri kilichoandikwa na mleta mada. Ni wapi aliposema ni Su-24? Su-24 ni old model lakini kwenye mada hii ni Su-24M na hii ni New Version.
 
Ndege aina ya Su-24M bomber imepigwa chini na jeshi la Ukraine kwenye mji ambao Putin ameamua uwe kichinjio cha wanajeshi wake, yaani ameamua kuuteka hata kama atapoteza kila kitu.....

Here's everything we know​

Ukrainian anti-aircraft crews operating near Bakhmut just shot down an expensive supersonic Russian bomber according to a report from Ukraine’s Air Force.

Downed on March 29th​

“On March 29th, 2023, anti-aircraft missile units of the Air Force of the Armed Forces of Ukraine destroyed a Russian Su-24M bomber,” read a press message from Ukraine’s Air Force that was posted across the military organization's social media pages.

The fate of the two pilots is still unknown​

The downing occurred around 1:30 pm local time near Bakhmut and while the post confirmed that one Russian Sukhoi Su-24M was destroyed, there was no mention of whether or not the aircraft's pilots survived the encounter with Ukraine’s anti-aircraft missile crews.

Hii habari Ni uzushi , CNN, CBS news, aljazeera, BBC hii wangekula nayo sahani moja lakini hatujaona sehemu yeyote Ile.
 
Back
Top Bottom