Ndege ya Rais haifai hata kwa safari za humu ndani ya nchi?

Ndege ya Rais haifai hata kwa safari za humu ndani ya nchi?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nimeshangaa sana kuona Mama katua Dodoma leo na mojawapo ya zile ndege kubwa (Airbus) za ATCL badala ya kutumia ndege maalalumu ya Raisi(5H-ONE) ambayo ilikuwa ni lazima inunuliwe hata kama watanzania tungekula majani.

Swali ni je, ndege ile haifai tena kwa safari za Raisi hata za humu nchini?

Au ndege hiyo ina matatizo/iko service?

Na je, ATCL wanalipwa, na zaidi wanalipwa kwa wakati kama serikali wanakodi hiyo ndege?

Tuna kazi kubwa watanzania ya kujikwamua na hizi tawala za CCM.
 
Inawezekana ipo service tena ya muda mrefu sana, Samia tangu aingie ikulu amekuwa akitumia ndege za mashirika tofauti kwa safari zake, sijawahi kuona akitumia ndege binafsi, kama yupo aliyewahi kumuona atujuze ilikuwa safari ya wapi na lini.
 
Inawezekana ipo service tena ya muda mrefu sana, Samia tangu aingie ikulu amekuwa akitumia ndege za mashirika tofauti kwa safari zake, sijawahi kuona akitumia ndege binafsi, kama yupo aliyewahi kumuona atujuze ilikuwa safari ya wapi na lini.
Kwani mnamchagulia, tuseme Kwa mfano unasafari vipi ukichaguliwa basi la kusafiri nalo, bila shaka utajiuliza maswali kadhaa, Moja ikiwa ni pamoja na kwanini nisitumie usafiri wa chaguo langu ama Kwa sababu ni WA uhakika ama nafahamu ubora wa huduma zao na mengine lukuki.
 
Nimeshangaa sana kuona Mama katua Dodoma leo na mojawapo ya zile ndege kubwa (Airbus) za ATCL badala ya kutumia ndege maalalumu ya Raisi(5H-ONE) ambayo ilikuwa ni lazima inunuliwe hata kama watanzania tungekula majani.

Swali ni je, ndege ile haifai tena kwa safari za Raisi hata za humu nchini?

Au ndege hiyo ina matatizo/iko service?

Na je, ATCL wanalipwa, na zaidi wanalipwa kwa wakati kama serikali wanakodi hiyo ndege?

Tuna kazi kubwa watanzania ya kujikwamua na hizi tawala za CCM.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nimeshangaa sana kuona Mama katua Dodoma leo na mojawapo ya zile ndege kubwa (Airbus) za ATCL badala ya kutumia ndege maalalumu ya Raisi(5H-ONE) ambayo ilikuwa ni lazima inunuliwe hata kama watanzania tungekula majani.

Swali ni je, ndege ile haifai tena kwa safari za Raisi hata za humu nchini?

Au ndege hiyo ina matatizo/iko service?

Na je, ATCL wanalipwa, na zaidi wanalipwa kwa wakati kama serikali wanakodi hiyo ndege?

Tuna kazi kubwa watanzania ya kujikwamua na hizi tawala za CCM.
Siyo kujikwamua na tawala za ccm sema tawala ya huyu mama. Ni wale ukipata kitumie ukikosa kijutie 😂. Ni mbadhirifu.
 
Nimeshangaa sana kuona Mama katua Dodoma leo na mojawapo ya zile ndege kubwa (Airbus) za ATCL badala ya kutumia ndege maalalumu ya Raisi(5H-ONE) ambayo ilikuwa ni lazima inunuliwe hata kama watanzania tungekula majani.

Swali ni je, ndege ile haifai tena kwa safari za Raisi hata za humu nchini?

Au ndege hiyo ina matatizo/iko service?

Na je, ATCL wanalipwa, na zaidi wanalipwa kwa wakati kama serikali wanakodi hiyo ndege?

Tuna kazi kubwa watanzania ya kujikwamua na hizi tawala za CCM.
Hii mramba alikula hela saivi anajisifu kwua yeye mjanja mtafutaji wakati ametumia dhamana ya madaraka vibaya
 
Nimeshangaa sana kuona Mama katua Dodoma leo na mojawapo ya zile ndege kubwa (Airbus) za ATCL badala ya kutumia ndege maalalumu ya Raisi(5H-ONE) ambayo ilikuwa ni lazima inunuliwe hata kama watanzania tungekula majani.

Swali ni je, ndege ile haifai tena kwa safari za Raisi hata za humu nchini?

Au ndege hiyo ina matatizo/iko service?

Na je, ATCL wanalipwa, na zaidi wanalipwa kwa wakati kama serikali wanakodi hiyo ndege?

Tuna kazi kubwa watanzania ya kujikwamua na hizi tawala za CCM.
In the government revitalization plan of Air Tanzania in 2016, the government purchased six new planes through the Government Flight agency that are leased to Air Tanzania. In May 2016, the company purchased two Bombardier Q400s, that it received in September 2016.[5] In December 2016, the company further placed four more orders to acquire two Airbus A220-300, one Bombardier Q400 and one Boeing 787 Dreamliner.- wikipedia.
 
Kwa hiyo serikali wanatumia mali yao ATCL wanakodi.
 
5H-ONE inabeba watu 18 tu kwa wakati mmoja na ni ndege designed kwa masafa marefu.
 
Na je, ATCL wanalipwa, na zaidi wanalipwa kwa wakati kama serikali wanakodi hiyo ndege?

ATCL sio mmiliki wa ndege hata moja, naye amekodishwa tu azifanyie biashara...

Hivyo Rais ukiona anapiga misele na hayo madude, ujue anatumia mali ya serikali...

Mjadala labda uwe juu ya gharama za kutumia hilo dude ambalo mara nyingi Samia amekuwa akilitumia unlike her predecessor
 
Inawezekana ipo service tena ya muda mrefu sana, Samia tangu aingie ikulu amekuwa akitumia ndege za mashirika tofauti kwa safari zake, sijawahi kuona akitumia ndege binafsi, kama yupo aliyewahi kumuona atujuze ilikuwa safari ya wapi na lini.
ile ndege inachukua abiria 15 tu, delagation ya Rais Samia haitoshi kwenye ndege hiyo. Mara ya mwisho 5H-ONE ilisafiri kutoka Instanbul Uturuki krudi dar es Salaam tarehe 20 December, na haijulikani ni afisa gani aliyekuwa anaitumia.
 
Tunahitaji wabobezi wa dunia waje kuresearch CCM medullas oblongata. PhD nje nje
 
Mimi niliiona hiyo ndege ikitumiwa na rais wa Burundi alipokuja hapa Tanzania labda kwa vile ni ya zamani mama anapenda vitu vipya au vipi alafu usisahau delegation ya mama ina watu wengi so anahitaji ndege kubwa
 
ile ndege inachukua abiria 15 tu, delagation ya Rais Samia haitoshi kwenye ndege hiyo. Mara ya mwisho 5H-ONE ilisafiri kutoka Instanbul Uturuki krudi dar es Salaam tarehe 20 December, na haijulikani ni afisa gani aliyekuwa anaitumia.
Mbona mkapa na jk walitumia hiyohiyo?
 
Back
Top Bottom