KWELI Ndege ya Rais yaonekana Dubai, leo Julai 28, 2023

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Hizo tarehe mbona rais alikuwa hapa hapa nchini.

Aliyesafiri ni Waziri Mkuu hadi kwa Putin, inawezekana alienda na ndege hiyo hadi Urusi na safari hiyo iligharimiwa na Russia.

Kwa kawaida huwa tunamwona raisi akitumia ndege za ATCL ambazo ni brandy new, hatumiagi hilo dege la enzi za Mramba.
 
Kwa hiyo yale madai ya mdau wa JF ni kweli? Kuwa kaitwa na DPW kuhusu mambo yanayoendelea nchini kupinga mkataba huo?
 
Mwacheni mama aende kupumzika dubai na saudi Arabi mnampa stress za kuuza bandari munamfanya asiwe na raha Mama Rais wetu mwacheni akapumzike kidogo .
 
[emoji19]

1. Aliyekaa ni Mke wa Mwl. Nyerere. Mama Maria Nyerere.

2. Aliyemlalia kiupendo ni Mke wa Samora Machel na Nelson Mandela, anaitwa Graca Machel.

3. Mwanamke aliyevunja rekodi kuolewa na Marais wawili wa nchi mbili tofauti Afrika.

4. Alifika juzi Msasani Dar es Salaam kumpa hi shost yake Mama Maria Nyerere.

5. Nyerere ameishakufa, mke wake yupo; Samora na Mandela wameishakufa mke wao yupo.

6. Sijui wanaume wenzangu mnanielewa? Ngoja niendelee. Mkapa ameishakufa mke wake yupo. Kenyatta aliishakufa mke wake yupo.

7. Naendelea; Karume ameishakufa, mke wake yupo; Magufuli ameishakufa mke wake yupo; Sokoine aliishakufa mke wake yupo.

8. Kama bado uko hai mwanaume mwenzangu refusha maisha yako kwa kukumbuka kuishi.

9. Hii habari ya kuishi kwa mashaka ukiwaza ati siku ukifa familia yako itabaki wapi hebu achana nayo uchelewe kufa. Anza kuishi. Kula vinono.

10. Lakini pia hii tabia ya kuwalazimisha watu mkale hela zako, inakuwahisha kufa. Achana nayo. Kula kwanza ushibe.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…