KWELI Ndege ya Rais yaonekana Dubai, leo Julai 28, 2023

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Bata batani la jimbo la ash-Sharqīyah
The Kingdom of Saudi Arabia

Damman, ni mji mkuu wa Jimbo la Mashariki Saudi Arabia. ash-Sharqīyah province (Arabic: المنطقة الشرقية.


Wenyeji jimbo hilo linakwenda wakiliita Al-Mintaqah ilipoenekana 5H-ONE ndege ya kiserikali ya Tanzania kwa mujibu wa tovuti za plane spotter maarufu wa kuaminika duniani na kutupiwa JamiiForums habari zake.

Miji-pacha iliyoungana kieneo Damman na Khobar ni eneo la kusifika kwa mapumziko na utalii. Jimbo lina idadi ya watu wakaazi 4 millioni. Huku wenyeji raia wa Saudia ni 3 million na wageni wakaazi 1 million wa kimataifa toka nje waishio jimboni humo .

Hivyo kwa kila watu 4 kuna wastani wa watu 3 ni wenyeji kwa mtu mmoja (1 )ni mgeni kutoka nchi za nje hivyo ni maeneo murua kabisa kubarizi kufanya utalii na matembezi ya holiday.

Damman ndipo kisima cha kwanza cha mafuta kilichimbwa nchini Saudia na kuanzia hapo utajiri wa mafuta ukaanza kuineemesha nchi hii mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani kupitia kampuni ya Aramco ambayo imewekeza vilivyo si tu katika sekta ya mafuta bali hata masuala ya kijamii kama bata la kitalii tajwa.

Tanzania inaweza kujifunza kuhusu matumizi mazuri ya maliasili za nchi kama mafuta, gesi, pwani, fukwe na utalii kutoka yanayoonekana katika jimbo hili la mashariki kabisa la Saudi Arabia.

Inside King Fahd International Airport A Saudi Aramco aircraft at Shaybah Airport in Shaybah
Dammam's King Fahd International Airport, operating since October 1999

Kutoka mji wa Damman Saudi Arabia ni kilometa chache yaani 20 unavuka bahari kupitia daraja refu kabisa unaingia Bahrain nchi nyingine tajiri kuendelea na utalii na mapumziko

The Kingdom of Bahrain
 
Kwa kawaida huwa tunamwona raisi akitumia ndege za ATCL ambazo ni brandy new, hatumiagi hilo dege la enzi za Mramba.
Flight history ya 5H ONE haionyeshi ndege hiyo, kutua kwenye viwanja Vya Karibu na St. Petersburg huko Russia mahali alipokwenda Waziri Mkuu. Labda kama hiyo CD ya flight radar ime"staki"!

 
Kuna taarifa kuwa mara nyingi weekend anakua huko
Si na sisi tujenge tuwe kama Dubai ?!.

1. Tanganyika ilipata uhuru 1961.
2. UAE (dubai) ilipata uhuru 1971.

WamewezaJe huku sisi tunashindwa ?!. Hali ya hewa yetu nzuri kuliko wao. Tunazo rasilimali nyingi kuliko wao. Tatizo letu akili na kukosa uzalendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…