unajua mkuu mi mwenyewe nilikuwa najiuliza sana hivi ni kwa nini kuna baadhi ya watanzania wanafurahi pale serikali inaposhindwa??nikaamua kufanya kautafiti kidogo nikagundua asilimia kubwa ya watu wa dizaini hiyo ni wale ambao kiasili si watanzania,ni wale tuliowakaribisha tz kama wakimbizi na wengine wakapewa uraia,kama unakumbuka kuna kanyarwanda kamoja kaliwahi kutokea humu jf kutwa kuiponda tz!!na kumbe wazazi wake ni wanyarwanda waliokimbia genocide huko rwanda kenyewe kamezaliwa bongo !!kwa hiyo mkuu we achana nao tulishafanya kosa na sasa tunainuka "I love Tanzania.."