OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Uyo Naye keshafilisika kitambo tu ..anabaki kutengeneza bifu ambazo hazina mashiko tena kwenye kizazi cha sasa..Kweli kabisa wala hawana msaada kwa Waafrika wenzao. Kuna huyu 50cent nayeye ovyo tu kila siku anapost ujinga tu. Hivi karibuni kuna afisa mmoja wa polisi alikuwa amepanga mpango wa kumpiga risasi za kutosha naona ingependeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa wala hawana msaada kwa Waafrika wenzao. Kuna huyu 50cent nayeye ovyo tu kila siku anapost ujinga tu. Hivi karibuni kuna afisa mmoja wa polisi alikuwa amepanga mpango wa kumpiga risasi za kutosha naona ingependeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie boss wako asithubutu kufanya hilo kosa hata akiahidiwa pesa ngapi, Canelo wa sasa sio yule aliyempiga enzi zileSiongei vitu juu juu bali ninaongea kutokana na uhalisia.
Floyd akikubali kurudi tena ulingoni kwa ajili
ya rematch kati yake na Canelo atakuwa mbali sana na lazima aingize kiasi kikubwa sana kupitia PPV.
Labda kwa sasa hivi ..hata hivyo ukicheki nyuma yao utakuta ni wazungu ndo wanawapa izo fact za kuwekeza kwa kutumia vipaji vyao ..mf mtu kama Jay z kweny kampuni kaajiri wazungu wengi zaid na wahindi ..unadhani ni kwanini kawaacha blacks mpak wakawa wana mmind..Siku hizi wengi wamebadilika, watu kama kina Michael Jordan, Diddy, Jay Zee, Dr Dre, LeBron James, Magic Johnson na wengine wengi wanaowekeza wamekuwa chachu kwa wanamichezo na wasanii weusi kuwekeza.
Bata wanakula kutoka kwenye mafaida, na si kutumbua mitaji, utawakuta kwenye Real Estates na Stock business, huwezi kukuta mwekezaji anamiliki ndege 5 kwa matumizi tu. Moja au mbili ni tosha kabisa.
Kawekeza kwenye biashara ya pombeUyo Naye keshafilisika kitambo tu ..anabaki kutengeneza bifu ambazo hazina mashiko tena kwenye kizazi cha sasa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo Naye keshafilisika kitambo tu ..anabaki kutengeneza bifu ambazo hazina mashiko tena kwenye kizazi cha sasa..
Sent using Jamii Forums mobile app
May mjanja, anaingiza hela kwa njia nyingi. Moja wapo ni gym kubwa ambayo wanaitumia mabondia wake anao wapromote kipitia Mayweather PromotionSiku hizi wanafanya hivyo, unakuta wanakuwa na financial advisors wa kuwashauri jinsi ya kufanya investments.
Ni wachache sana ambao wamebaki na akili za kama Mayweather.
Hahaha halafu kuna mtu anamfanisha dangote na uyu bondia wa ulingoni..Hivyo vitu vyake vyote ndio vimejumlishwa kwenye huo utajiri ikiwemo na hiyo ndege uliyoweka hapo na bado hafiki $800m
Mabondia wa Marekani wenye majina wenyewe wanatamani kupata pambano naye lakini hawapati, ni bahati kupata pambano naye, maana hata ukipigwa unapata jina na hela
Apo mkuu mayweither 15 iv ndo anaweza kuwa Dangote mmoja...Kwa hiyo hapo May ana almost 5% ya utajiri wa Dangote. Na wakati Dangote utajiri unaongezeka, May unapukutika.
Labda kwa sasa hivi ..hata hivyo ukicheki nyuma yao utakuta ni wazungu ndo wanawapa izo fact za kuwekeza kwa kutumia vipaji vyao ..mf mtu kama Jay z kweny kampuni kaajiri wazungu wengi zaid na wahindi ..unadhani ni kwanini kawaacha blacks mpak wakawa wana mmind..
Hata hivyo bado ni wachache sana wanaofanya ivyo mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Somehow ana muogopa hata mungu ila huyu Mknd hana hata hofu ya mungu kwa ufuska na kuwadhalilisha wanawake kwa kuwachezesha uchiIla 50 kajitoa tu ufahamu lakini ana investments za kutosha. Hana matumizi ya kishamba kama May.
Unaelewa tunabishania nini au umekurupuka???We jamaa inaonekana unampenda sana Floyd, Aliko Dangote ana zaidi ya USD 10 bil, means May ana less than 8% ya utajiri wa Dangote. Ndo unalinganisha!
Ahaa niliposkia zile info nikajua kweli kafilisika ..kwani ilikuwaje yeye na Rosee mkuu?50 cents yuko vizuri mkwanja, aliwahi kutangaza kufilisika ili akwepe kulipa fine ya mzazi mwenziye na Rick Ross. Ila hakufanikiwa.
50 yuko njema kwa uwekezaji.
Unamjua vizuri Floyd au unamjua tu juu juu??Ana ndaguro analiita Girls Collection yaani kumbe mwanamasumbwi muafrika mwenye akili kidogo ni Tyson
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Mo pesa zao za ukoo pia ni mbahili usimfananishe ma Floyd.Hahaha acha dharau kwa Aliko wewe ..
Hao maiwetha 15 ndo Dangote mmoja. Hivi kwanza unajua Dangote ana kiasi gani? Yeye ndo mweusi wa kwanza mwenye pesa ..
Mo wa simba kamkimbiza uyo Mayweither..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mtu unatafuta pesa ili iweje????Ndo akili za black American yani ni ngono, pombe, kununua magari ya bei ghali ..hawana future kabisa ndo maana wazungu wanawadharau wao wanaona kama wanaonewa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwa na akili za mgandoWanaku rise halafu wanakufungulia kesi za ubakaji ndio unakuwa mwisho wa kila kitu.
Muda ndio muamuzi wa mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
kama anaingiza pesa nyingi kuliko anazotumia sio mbaya ..ila wengi huishia kufilisika ..may be ni njama za wazungu wakishawatumia vya kutosha..May mjanja, anaingiza hela kwa njia nyingi. Moja wapo ni gym kubwa ambayo wanaitumia mabondia wake anao wapromote kipitia Mayweather Promotion
Sent using Jamii Forums mobile app