Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #121
Kila mtu ana namna ya maisha anayotamani kuyaishi ndio maana anafanya juhudi na maarifa ili kusudi aweze kutimiza kuishi maisha anayoyatamani.Wewe unaongelea starehe??
Ndo matumizi ya pesa hayo??
Kununua ndege tano, kumiliki magari dazeni, sasa saiv Floyd akidanja atakuwa ameacha nini cha kukumbukwa? Danguro? Ndge tano?
Acha ushamba mkuu..
Kam wazungu wangekuwa na akili za akina mayweitha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Floyd mshamba, wewe mjanja.
Unajua sababu za kuitwa Pretty boy ni zipi?Acha atumie mkuu, anajipoza kwa mingumi aliyokuwa anapigwa.
Usiseme hiyo kauli mbele za watu kwamba Floyd hana investment yoyote utachekwa sana pia utaonekana punguani.Yani kwa ufupi ni kwamba anapata pesa nyingi lakini hana investment yeyote ..
Ila sisi tupambane na hali zetu tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah alitengeneza mpunga mrefu sana..hizi ndo akili zinazotakiwa ..sio kununua ndege tano wakati ndege ni zile zile tu ..Moja ya watu LeBron James anasema walisababisha aone kama inawezekana kuwa Tajiri kwa blacks ni Diddy, Jay Zee na Dr Dre.
In fact wakati Dre anauza Beats By Dre kwa Apple, LeBron alitengeneza $30 mil kwenye hilo dili, maana alikuwa amewekeza haizidi $2 mil.
Jamaa wamekuwa inspirational sana kwa blacks.
Mkuu, huyo kijana hajitambui .Anazo investments nadhani... Pia ana hisa kwenye makampuni makubwa... Anyway asilaumiwe hata sisi tungefanya kama yeye tena pengine kumzidi
Jr[emoji769]
Unamiliki nguo au viatu pea ngapi?Daah alitengeneza mpunga mrefu sana..hizi ndo akili zinazotakiwa ..sio kununua ndege tano wakati ndege ni zile zile tu ..
Mayweither anahitaji ushauri zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo pumzi na ngumi nyepesi sana.
50 cents yuko vizuri mkwanja, aliwahi kutangaza kufilisika ili akwepe kulipa fine ya mzazi mwenziye na Rick Ross. Ila hakufanikiwa.
50 yuko njema kwa uwekezaji.
Una akili timamu?
Duh 50 kumbe alikuwa na 150 tu..hahaha halafu uo ujinga qa kupost dem wa jamaa akiwa uchi ndo ushamba wenyewe uo mkuu..
Hata mim ningedai aise..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu similiki ata penseli aise. Nifanyie mpango kwa mshikaji wako Floyd basi...Unamiliki nguo au viatu pea ngapi?
Hivi wanazipata kutoka wapi? kiingilio? Nieleweshe!Floyd ana USD Milion 560 na Michael Jordan ana USD 1.9 Bilion.
Daah alitengeneza mpunga mrefu sana..hizi ndo akili zinazotakiwa ..sio kununua ndege tano wakati ndege ni zile zile tu ..
Mayweither anahitaji ushauri zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
50 cent nasikia maji ya vitamin B ndio yalimpa utajiri mkubwa wa kipesa japo alikuwa anapata 10% sawa na diamond karanga kwa mondi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua sababu za kuitwa Pretty boy ni zipi?
Aliko Dangote Net worth: US$10.5 billion.......
Hizo hela ni jumla ya utajiri wote waliokuwa nao ambazo kwa Floyd source yake kubwa ni mapambano anayopigana,analipwa kwa kila pambano analopigana na kila Boxer ana dau lake kulingana na thamani yake,Boxer yeye hausiki na vingilio hilo ni swala la mwaandaji wa pambano.Ila Jordan ni moja ya mchezaji bora wa BasketBall wa NBA source yake ni biashara ya viatu,mikufu,T-shirt nk na hela alizozipata akiwa mchezajiHivi wanazipata kutoka wapi? kiingilio? Nieleweshe!
Japo kashindana na mwanae wa kwanzaNi balozi wa vinywaji kadhaa, na ndiye mmiliki wa series ya Power, anaigiza movies pia.
Ukiingia google ukasearch investments zake utaona, si baba yuko njema.