Unaafaa kua mpambe wa ccmUnajua Michale Jordan ana utajiri wa kiasi gani na Floyd ana utajiri wa kiasi gani?
Unajua kuna kiasi gani cha pesa kimewekwa kwa ajili ya rematch kati yake na Canelo?
Unajua kwamba Canelo ndiye boxer anayelipwa pesa nyingi zaidi kwa sasa ukimtoa Floyd Mayweather????
Unajua ni kiasi gani cha pesa anachotumia Floyd kwa ajili ya starehe???
How stupid you are.Siongei vitu juu juu bali ninaongea kutokana na uhalisia.
Floyd akikubali kurudi tena ulingoni kwa ajili
ya rematch kati yake na Canelo atakuwa mbali sana na lazima aingize kiasi kikubwa sana kupitia PPV.
Ulitaka awatafutie watu chakula na sehemu za kulala?Mimi nawaza iv kuna fahar gan kununua mindege....migar ya garama na mijumba ya kifahari ilihali kuna watu hawana chakula....malazi!???
Nadhan tunasahau kua tukifa hatuzikw hata na senti........
Mm ndo mana namkubali sanaaaa Man Paq
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhalisia anaujua mwenyewe Floyd bana.wewe kajambe Nani hapo mwananyamala unakazana nini?Siongei vitu juu juu bali ninaongea kutokana na uhalisia.
Floyd akikubali kurudi tena ulingoni kwa ajili
ya rematch kati yake na Canelo atakuwa mbali sana na lazima aingize kiasi kikubwa sana kupitia PPV.
Wewe mwenye "fyucha" za miaka hamsini tuoneshe vitega uchumi vyako.Dah afu kweli ..maaa mtu kama biligate sidhani kama ana ndege hata mbili za kufanya anasa..
Ila ndio tatizo la watu weusi wa marekani ..hawanaga future za miaka hamsin au sitini badae ivi...
Wakishika mipunga ni kuwaza ngono, kubadilisha magari..
Sent using Jamii Forums mobile app
huwa naukukubali sana ktk kuweka mambo sawa..Floyd ana USD Milion 560 na Michael Jordan ana USD 1.9 Bilion.