OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Kila dakika mkuu.Jordani hata akisema atumie kama atumiavyo Floyd ,bado Floyd hamfikii wewe jiulize Jordani kwa siku anauza viatu pair ngapi,bado kuna mikufu na t-shirt zake ,kwa kifupi Jordan anaingiza hela kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app