TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hii ni MIGA?Mzee wetu JPM nakubali san kutengeneza mfumo wa kiutendaji na kutaka mikataba yenye maslahi! But kweny fungu hili la kuvunja mikataba kibabe ali fail!! Cz madhara ya kuvunja mikataba kibabe ni hii payback!!!! Na haya LISSU alisimama kupinga uvunjwaji wa mikataba kienyeji lkn walinda legacy wakaishia kumuita LISSU mtetea mabeberu!!!!
Hiyo ndege ina thamani gani?By MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Mimi nikisema magufuri alikuwa na matatizo ya kufikili kuna watu humu huwa wanachukia sana ...lakini huo ndio ukweliDawa ya deni kulipa.
Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.
Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.
Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.
WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Dawa ya deni kulipa.
Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.
Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.
Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.
WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Huyo bwana atakua aliwachoma na majiti kwenye kinyeoUnapokataa ushauri na kujifanya kila kitu unajua ndio madhara yake hayo sasa
Tatizo kiongozi anakuwa mungu mtu only in Africa
Jitu linachukia matajiri
Muongo huyuVile kafura baada ya mleta uzi kutoboa siri👇😁😁😁
View attachment 2683908
Bado wanataka tuingie kwa chatu DP World!! CCM ni mashetani!By MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Hiyo ndege ilienda uholanzi kufanya nini au ndo wapigadili wenyewe haoBy MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Hivi ndege yenyewe ni ya $91.5m sawa na pesa ya madafu 210B za madafu si bora wangekaacha tu kuliko kutoa yote 400B?Mkataba alioingia Kikwete akaja kuuvunja Magufuli, then huyo Kikwete think tank wa Samia tunaona mwanafunzi wake akitutoa sadaka kwa waarabu milele..
Naaimini kabisa huo mkataba ulikuwa wa kinyonyaji kwa watanganyika kwa sababu Magufuli hakuwa na tabia za Kikwete na Samia, hao wawili ni waswahili selfish sana.
Tujitegemee tafadhali rudisha akili yako, unajua kua JPM ali surrender kwa acacia kweny suala la pesa yote na kukubali kishika uchumba ambacho sio cha Kulipwa leo wala kesho. Muulize chief negotiator Mr jalalani atakwambia, alisema waz kua kishika uchumba ilikua kanyaboya!!!Hii ni MIGA?
Hakunaga ushind wa urais kupitia box la kura!! Ishi humo!!!! Mpaka ukomboz utapopatikana kupitia katiba mpya iliyobora!naona chadema wanazidi kupata hoja zaidi za kuwapiga ccm kwenye kampeni 2025.
Hiyo ni migogoro iliyosabanishwa na mkapa na kikweteDawa ya deni kulipa.
Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.
Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.
Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.
WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
weka ushahidiBy MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
ndiyo maana tunasema viongozi wawe makini na hii mikataba ya kibiashara tunayoingia, hata hii ya DP World kuna siku itatutokea puani.wale ECO wahuni dah, yaani ile ardhi si ajabu waliipata bure au ECO yenyewe ni mali ya yule msela wa Saigon na ilikuwa part and parcel ya zile project zake za kuicolonize Tanganyika to his saigon empire.
Magu hakuvunja eti sababu ilikuwa mibovu.Alivunja sababu hakupata mgaoHuo mkataba alioingia Kikwete ulikuwa unahusu nini na ulikuwa una mapungufu yapi Hadi uvunjwe na Magufuli
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app