ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni vyema kuhoji waliotufikosha huko,hata hivyo Sio sawa Serikali kutoa pesa yote hiyo bila kwenda Mahakamani kupambanaBy MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Msiwe wepesi kupinga uwekezaji wa bandarini. DPW akianza kazi mahali pale kwa mwaka mmoja TRA inakwenda kuingiza trilioni 26 kama kodi ya serikali.By MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Matatizo ya kuabudu watu kuliko kusimamia misingi ya sheria ndio huzaa hoja kama za huyu mkuu.Mkataba alioingia Kikwete akaja kuuvunja Magufuli, then huyo Kikwete think tank wa Samia tunaona mwanafunzi wake akitutoa sadaka kwa waarabu milele..
Naaimini kabisa huo mkataba ulikuwa wa kinyonyaji kwa watanganyika kwa sababu Magufuli hakuwa na tabia za Kikwete na Samia, hao wawili ni waswahili selfish sana.
Wapinzani ina watu wenye maono makubwa lisu alivyosema kipindi kile swala hili wajinga walimuita kibaraka na leo hii tena lisu anawapiga spana kuhusu mkataba wa bandari wanamuita mpotoshajiMzee wetu JPM nakubali san kutengeneza mfumo wa kiutendaji na kutaka mikataba yenye maslahi! But kweny fungu hili la kuvunja mikataba kibabe ali fail!! Cz madhara ya kuvunja mikataba kibabe ni hii payback!!!! Na haya LISSU alisimama kupinga uvunjwaji wa mikataba kienyeji lkn walinda legacy wakaishia kumuita LISSU mtetea mabeberu!!!!
Chadema hawapendi kabisa kusikia bongo inapiga hatua. Huu ndo uchawi wenyewe
Hizi takataka unamletea nani hukuMsiwe wepesi kupinga uwekezaji wa bandarini. DPW akianza kazi mahali pale kwa mwaka mmoja TRA inakwenda kuingiza trilioni 26 kama kodi ya serikali.
Tutanunua ndege ngapi kwa pesa hizo?. Tutalipa madeni yote ya huko nje na chenji nyingi tu itabakia.
Message umeipokea vizuri kichwani mwako, ushahidi ni hilo povu lako.Ccm ndio hawapendi kuona wananchi wanaendelea kuhofia kutolewa madarakani mtu ukiwa
Hizi takataka unamletea nani huku
Uongo Ukisemwa sana hugeuka Ukweli.. Agro EcoEnergy sues Tanzania after govt. cancels project due to concerns over human rights impacts - Business & Human Rights Resource CentreBy MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Na hao DP World wa bandari unaowatetea leo, siku moja utaisema serikali kwa haya maamuzi ya leo. Utakuwa kama Nchemba na ile kauli yake ya SADIST MINDDawa ya deni kulipa.
Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.
Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.
Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.
WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
ZinatoshaHapo mgao mkubwa sana utaingia mifukoni mwa waliofanikisha dili, sasa hizo bilioni karibu. 500 hazitoshi kununua ndege mpya?
chief ukijibiwa hili naomba nitagHuo mkataba alioingia Kikwete ulikuwa unahusu nini na ulikuwa una mapungufu yapi Hadi uvunjwe na Magufuli
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Na bado ndio wanataka kuingia mikataba mingine ya kijuha Kama hiyo! Waliwekeza kitu gani mpaka walipwe hizo hela hakuna kitu Ila tunawalipa ndio ujue kwa Nini wananchi wanapinga mkataba wa bandariBy MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Umeandika vizuri sana.Dawa ya deni kulipa.
Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.
Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.
Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.
WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Alifanya kosa gani kufuta Ile hati ya lile shamba poli?Mimi nikisema magufuri alikuwa na matatizo ya kufikili kuna watu humu huwa wanachukia sana ...lakini huo ndio ukweli