Huu sio mkataba wa Kikwete ni mkataba wa BIT bilateral investment treaties ambao unaingia kati ya nchi na nchi ni tofauti na wa DPWc
chief ukijibiwa hili naomba nitag
Wallahi hiyo sio deni la sharia bankNa riba juu
Ukiona hivyo ujiuwe hao ni mijikondoo iliyokosa mchungaji.
Katutia kwenye matatizo mengi hayasemwi tu.
Hiyo ardhi alipewa Azam live na Magufuli kwa hiyo wakulipa ni Azam sio walipakodi ndio haki bin hakiSasa ndiyo tukubali matokeo. Tuilee mimba ya makalio, unafikiri anazilipa nani hizo kama siyo na wewe?
Bb kizee acha kututisha kwahyo Ni mambo kudaka Mali zetuDawa ya deni kulipa.
Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.
Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.
Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.
WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Hela huzikwi nayo lakini inaweza kukununulia sanda utakayoBahati nzuri hakuna mwanadamu anayezikwa na hela
Leo umefikiria kienyeji Sana mkuuHiyo ndege ina thamani gani?
Kama thamani yake ni ndogo si wangeiacha tu? Aaah
Waliongia hii mikataba ndio wabaya hasa , Kuna watu Wana hulka za easy giving, hawajui Ile kanuni ya pokea kwa haraka ila usitoe kwa haraka
Kwa hiyo umeksirika wamelipwa?By MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Huu ulikuwa ujinga wa kikwete kuingia mikataba ya kimangungo na Samia anaiendelezaDawa ya deni kulipa.
Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.
Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.
Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.
WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Huko ni kujidanganya, lakini siwashangai. Ukishagongw na nyoka hata unyasi utauogopa.
Mshagongwa sana na nyoka. Ndiyo maana mama kawafata wajomba zake, anajuwa hao ni watu wa sharia. Hawana longolongo.
Deni lingebaki palepaleHiyo ndege ina thamani gani?
Kama thamani yake ni ndogo si wangeiacha tu? Aaah
Na viongozi wa upande ule pia waache ujuha wa kuliingiza taifa kwenye mikataba ya kimangungoUlitaka tusamehe ndege au tudhulumu?
Lazima viongozi kutoka upande ule wajifundishe kuheshimu mikataba,
Ubabe fanyia nyumbani kwako
Ujinga wao wa kusaini mikataba ya hovyo enzi ya Mkwere ndio inatutesa sisi walala hoi kwa kutozwa kodi kila sehemu ili walipe fidia hizo kwa mabwana zao!By MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?u
Kwanza ndege yenyewe haitengebezi faida, kila mara tunaambiwa wanaingiza hasara, si bora lichukuliwe tu kulikoni kuondoa 402B kwenye mzunguko w pesa nchini?Leo umefikiria kienyeji Sana mkuu
Soma kichwa cha habari.Huu ulikuwa ujinga wa kikwete kuingia mikataba ya kimangungo na Samia anaiendeleza
WamejilipaKwahiyo ulikuwa unataka serikali isilipe au..
Katu usimfananishe magufuli na Hawa mafisiMimi nikisema magufuri alikuwa na matatizo ya kufikili kuna watu humu huwa wanachukia sana ...lakini huo ndio ukweli
Hiyo pesa iliyolipwa ilikuwa unapata ndege za aina hiyo hiyo 4 kutoka kiwandani. Naona tulicholipa ni kufuta aibu kama Taifa na sio kuikomboa ndege...By MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?