Ndege ya Tanzania iliyokuwa imeshikiliwa Uholanzi yaachiliwa kwa kuilipa Eco Energy US$ 165M (403bn Tsh)

Ndege ya Tanzania iliyokuwa imeshikiliwa Uholanzi yaachiliwa kwa kuilipa Eco Energy US$ 165M (403bn Tsh)

Ukiona hivyo ujiuwe hao ni mijikondoo iliyokosa mchungaji.

Katutia kwenye matatizo mengi hayasemwi tu.

Lakini angalau aliwaletea Samia wenu, tena mara mbili ya kwanza 2015 na ya pili 2015 au bado haitoshi kumshukuru hata kidogo tu kwa kuwaletea Tamaa ?
 
Sasa ndiyo tukubali matokeo. Tuilee mimba ya makalio, unafikiri anazilipa nani hizo kama siyo na wewe?
Hiyo ardhi alipewa Azam live na Magufuli kwa hiyo wakulipa ni Azam sio walipakodi ndio haki bin haki
 
Dawa ya deni kulipa.

Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.

Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.


Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.

Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.

WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Bb kizee acha kututisha kwahyo Ni mambo kudaka Mali zetu

Hata mm nikikamatwa huko uturuki nashikiliwa
 
Ukija kujua wamelipwa 150 bn tu zingine zimekwenda kwa mfuko utachoka.
Hawa jamaa hawaaminiki kabisa
 
Waliongia hii mikataba ndio wabaya hasa , Kuna watu Wana hulka za easy giving, hawajui Ile kanuni ya pokea kwa haraka ila usitoe kwa haraka

Atalaumiwa magufuli wakati mikataba mingi mibovu na yahovyo aliingia kikwete nchi hii ngumu sana na kuna mikataba ikifumuliwa utashangaa jk ikulu alienda kufanya nini?
 
By MMM

Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.

Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33

Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Kwa hiyo umeksirika wamelipwa?
Ni ujinga kiasi fulani.
Tukidaiwa mnachekelea kama hamna akili nzuri, tukilipa tunachodaiwa mna laumu, sasa mnataka iweje?
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Dawa ya deni kulipa.

Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.

Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.


Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.

Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.

WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Huu ulikuwa ujinga wa kikwete kuingia mikataba ya kimangungo na Samia anaiendeleza
 
Huko ni kujidanganya, lakini siwashangai. Ukishagongw na nyoka hata unyasi utauogopa.


Mshagongwa sana na nyoka. Ndiyo maana mama kawafata wajomba zake, anajuwa hao ni watu wa sharia. Hawana longolongo.
 

Attachments

  • 20230710_163423.jpg
    20230710_163423.jpg
    115.6 KB · Views: 2
Ulitaka tusamehe ndege au tudhulumu?
Lazima viongozi kutoka upande ule wajifundishe kuheshimu mikataba,
Ubabe fanyia nyumbani kwako
Na viongozi wa upande ule pia waache ujuha wa kuliingiza taifa kwenye mikataba ya kimangungo
 
By MMM

Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.

Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33

Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?u
Ujinga wao wa kusaini mikataba ya hovyo enzi ya Mkwere ndio inatutesa sisi walala hoi kwa kutozwa kodi kila sehemu ili walipe fidia hizo kwa mabwana zao!
 
Leo umefikiria kienyeji Sana mkuu
Kwanza ndege yenyewe haitengebezi faida, kila mara tunaambiwa wanaingiza hasara, si bora lichukuliwe tu kulikoni kuondoa 402B kwenye mzunguko w pesa nchini?

Unafikiri kulipa pesa nyingi kama hiyo haitaathiri mzunguko wa pesa nchini?
 
By MMM

Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.

Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33

Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?
Hiyo pesa iliyolipwa ilikuwa unapata ndege za aina hiyo hiyo 4 kutoka kiwandani. Naona tulicholipa ni kufuta aibu kama Taifa na sio kuikomboa ndege...
1688998974201.png

1688998998280.png
 
Back
Top Bottom